Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Songambele

JF-Expert Member
Nov 20, 2007
4,696
2,553
Saluti wakuu, najua katika wengi hapaharibiki neno. Nawasilisha kwenu matatizo ya mpenzi wangu ana alama katika ngozi ambazo kama vile mtu alikuwa mnene na sasa amepungua na ngozi inabaki na michirizi.

Kwa mtaalam wa masuala ya ngozi hususani za wanawake basi asisite kutupatia elimu, kuna matatizo mengine ukisema yanakuwa mepesi.

stretch_marks.jpg

Nawasilisha wakuu.

- Swali la pili kutoka kwa gracious86

gracious86 wapenzi wadau,naombeni mnijulishe ni dawa gani nzuri inayotoa 'strech mark' alama za tumboni zinazobaki baada ya kujifungua! Jamani zinakera mno!

Kuna watu wanasema eti huwa zinatoka zenyewe naturally! Sasa kama ni kweli,zinachukua muda gani baada ya uzazi! Coz for me,its almost a month and some days since nimejifungua,and the marks,are still there! Help.

PIA SOMA

- Mdogo wangu aikosa ndoa kisa michirizi

======= Majibu =======

SDC10642.JPG


Katika ngozi ya baadhi ya watu, kuna aina Fulani ya mistari ambayo huonekana kama alama iliyobaki baada ya mtu kuumia, huonekana kama kovu, lakini siyo kovu na wala mtu hakupata ajari au kuumizwa na kitu chochote.

Katika ngozi ya baadhi ya watu, kuna aina Fulani ya mistari ambayo huonekana kama alama iliyobaki baada ya mtu kuumia, huonekana kama kovu, lakini siyo kovu na wala mtu hakupata ajari au kuumizwa na kitu chochote.

Mara nyingi alama hizi za michirizi humtokea mtu maeneo ambayo kwa asilimia kubwa huwa na mafuta (fat), mfano katika mwili hutokea mara nyingi kwenye mapaja, upande wa juu wa mikono (biceps), tumboni, kwenye makalio, pia kwa baadhi ya watu hutokea maeneo ya kifuani au kwenye matiti kwa wanawake.

Mpenzi msomaji, kwa kawaida michirizi hii huwa haimletei mtu maumivu ya aina yoyote, bali jambo kubwa huwa ni kuubadili muonekano wa ngozi ya mtu. Kwa baadhi ya watu michirizi hii huwa ni mikubwa sana, na kwa namna moja au nyingine humnyima mtu uhuru au humfanya mtu asiwe na amani pindi anapokuwa mbele za watu kwa kutegemeana na michirizi hiyo imetokea sehemu gani ya mwili.

Kabla hatujaangalia namna alama hizi zinavyotokea, tukumbushane sehemu muhimu za ngozi. Ngozi imegawanyika katika sehemu kuu tatu, sehemu ya nje (Epidermis), sehemu ya kati (Dermis) na sehemu ya ndani (Hypodermis).

Alama hutokea baada ya sehemu ya kati ya ngozi, dermis, kutanuka ghafla ndani ya muda mfupi kutokana na vitu kama mazoezi makali (kunyanyua vitu vizito), mtu kuongezeka uzito ghafla au obesity, pia kuna baadhi ya dawa au homoni (Glucocorticoids), ambazo kwa namna moja au nyingine huathiri tishu za kwenye ngozi na hivyo kupelekea mtu akapata alama za michirizi. Ujauzito kwa baadhi ya wanawake na pia mambo ya kurithi yameonekana kuchangia mtu kupata alama hizi katika ngozi yake.

Yawezekana alama hizi ni kero katika ngozi yako, miongoni mwa njia ambazo zinatumika kutatua au kupunguza ukali wa muonekano wa alama hizi ni: Kwanza kabisa mpenzi msomaji, ni kuangalia chanzo ni nini, je ni uzito kuongezeka ghafla?, na baada ya kugundua chanzo, chukua hatua zinazostahili, na kama chanzo ni mazoezi au kunyanyua vitu vizito, ongea na mwalimu wako wa mazoezi ili akupangie utaratibu mzuri wa mazoezi. Pia matumizi ya mafuta ya kujipakaa yenye mchanganyiko wa vitamini E husaidia kuijenga ngozi na kutoa makovu na michirizi. Ulaji wa vyakula na kunywa vinywaji vyenye vitamini A, D na E huimarisha ngozi.

Tumia vipande vidogo vidogo vya viazi kufuta sehemu ya ngozi yenye michirizi, ruhusu juisi au maji maji ya kwenye viazi yakae katika ngozi, na kisha baadae unaweza kuosha ngozi yako kwa maji ya vuguvugu, kwani viazi vina madini na vitamini ambazo zikinyonywa katika ngozi, husaidia kuondoa michirizi.

Mafuta ya Aloe vera, pakaa mafuta haya katika ngozi yenye michirizi, pia unaweza kuyachanganya na vitamini A na ukapakaa ngozi yako.

Katika ngozi yenye michirizi, pakaa juisi iliyotokana na malimao, limao linayo tindikali asilia, organic acid, ambayo husaidia kuponyesha makovu na michirizi ya ngozi.

==================

Kabla hatujaangalia namna alama hizi zinavyotokea, tukumbushane sehemu muhimu za ngozi. Ngozi imegawanyika katika sehemu kuu tatu, sehemu ya nje (Epidermis), sehemu ya kati (Dermis) na sehemu ya ndani (Hypodermis).
Alama hutokea baada ya sehemu ya kati ya ngozi, dermis, kutanuka ghafla ndani ya muda mfupi kutokana na vitu kama mazoezi makali (kunyanyua vitu vizito), mtu kuongezeka uzito ghafla au obesity, pia kuna baadhi ya dawa au homoni (Glucocorticoids), ambazo kwa namna moja au nyingine huathiri tishu za kwenye ngozi na hivyo kupelekea mtu akapata alama za michirizi. Ujauzito kwa baadhi ya wanawake na pia mambo ya kurithi yameonekana kuchangia mtu kupata alama hizi katika ngozi yake.

Michirizi, mipasuko, mistari au kwa kitaalum Strech marks
inasababishwa na vitu vifuatavyo:-
- Ujauzito
- Kuongezeka kwa mwili (unene)
- Ukuaji wa haraka wakati wa kubalehe
- Mabadiliko ya mwili

Mpenzi msomaji, kwa kawaida michirizi hii huwa haimletei mtu maumivu ya aina yoyote, bali jambo kubwa huwa ni kuubadili muonekano wa ngozi ya mtu. Kwa baadhi ya watu michirizi hii huwa ni mikubwa sana, na kwa namna moja au nyingine humnyima mtu uhuru au humfanya mtu asiwe na amani pindi anapokuwa mbele za watu kwa kutegemeana na michirizi hiyo imetokea sehemu gani ya mwili.


Lakini hii hali inaweza kupotea kabisa iwapo utafanya mambo yafuatayo:-
1. Upakaji wa mafuta laini (Lotion) aina ya
Vaseline Intensive care tumboni katika kipindi chote cha
ujauzito kinasaidia kutopata tatizo hili.

2. Upakaji wa srub ya Apricot ni dawa ya haraka ya tatizo hili

3. Upakaji wa Mafuta ya Lavender mara 2 kwa siku yanaondoa
tatizo hili kwa muda mfupi sana
4. Mchanganyiko huu ni dawa nzuri na ya kuaminika,
ni vizuri ukihifadhi mchanganyiko wako ndani
ya Friji kwa kipindi chote cha matumizi.

- 1/2 kikombe cha olive oil
- 1/4 kikombe cha alove vera gel
- Majimaji ya vidonge 6 vya vitamini E
- Majimaji ya Vidonge 4 vya Vitamini A



Chanzo: Kwa msaada wa google
 
Bio-oil and patience will do the trick japo wakati mwingine nature ina jeuri!

======
michirizikiboko.jpg

Improving the appearance of stretch marks
Bio-Oil is highly effective in helping to improve the appearance of existing stretch marks. Bio-Oil helps to increase the elasticity of the skin, thereby the possibility of new stretch marks forming is reduced.

Application

Bio-Oil should be massaged in a circular motion into the stretch marks and surrounding skin, twice daily, for a minimum of 3 months.

What is a stretch mark and how is it formed?
Stretch marks, otherwise known as striae, are caused by exactly what their name suggests – stretching of the skin.

By expanding and contracting, the skin's connective tissue allows it to adapt to continuous movement of the body; but sometimes the skin has insufficient time to adjust. When the body expands faster than the covering skin, the skin tears and forms an internal wound; this then forms a scar as it heals. These scars are visible on the surface of the skin as stretch marks.

The likelihood of developing stretch marks varies according to skin type, race, age, diet and hydration of the skin.

Those most prone to stretch marks include pregnant women, body builders, adolescents undergoing sudden growth spurts, and individuals that experience rapid weight gain.

Stretch marks are permanent in nature, and although Bio-Oil is specifically formulated to help improve their appearance, it will never remove them entirely.
 
Ntashukuru pia nami nikiweza kupata msaada katika hili. Nkamangi nini maana ya Bio-oil sijakupata mkuu. Nifafanulie tafadhali niwezekuelewa.

==========

Remove-Stretch-Marks-620x330.jpg

Top 10 Remedies to Remove Stretch Marks



Have you ever noticed the leather bag that you carry with all the stuff under the sun? It gets so stretched that it reaches the limit of its elasticity. It is then, when you see those wrinkle type marks

on your old overused leather bag. You discard it and buy a new one. But you cannot do this with your own skin! Yes, your skin is composed of elastin which can be thought of as a soft elastic tissue. It is soft, supple and stretchable but it too has its own limits. Some situations exert extra

pressure on your skin such as sudden weight gain or loss, pregnancy and even rapid growth of your body during teenage. Sometimes while exercising too, you stretch your body out of its limits. In such situations you get those thick red or purple lines on your skin which is popularly known as

stretch marks. Gradually these lines do fade away and become white or silvery white in color but they don't go away on their own. You have to put efforts to remove these stretch marks. Here are some home remedies to help you with your task.


Natural Remedies to Remove Stretch Marks


1. Apricot Mask to Remove Stretch Marks

Many people use apricot scrub for rapid removal of stretch marks from their skin. However, I am giving you the recipe of a mask made from apricot that you have to apply on your stretch marks daily for at least a month or more.

Get these things:

• Apricots- 2-3
• Lukewarm water- enough to wash off your skin having marks.


Do this:

• Cut open the apricots and remove their seeds.
• Crush the fruits to get their paste.
• Apply this apricot paste on your stretch marks.
• Leave for about 15-20 minutes.
• Now wash off with warm water.
• Repeat everyday (you may initially do it twice a day) for a month.


2. Aloe Vera to Remove Stretch Marks


Benefits of aloe vera are now very popular among the fans of home remedies. This herb has in it the plant collagen which excellently repairs human skin too. Use, as far as possible, the fresh aloe gel taken from the leaves instead of using store bought gel.

Get this:

• Aloe vera leaf


Do this:

• De-thorn the aloe vera leaf and remove its outer skin.
• Take out the sticky gel from the inside of the leaf.
• Apply this fresh aloe gel on your stretch marks.
• Now forget it for two hours.
• Wash off with water after this couple of hours.



3. Oils to Remove Stretch Marks


Natural oils are excellent emollients and they have these capacity to treat all scalp and hair problems as also skin issues including stretch marks. You just need to identify the right type of oil

for the very purpose. You should ideally gently massage your skin having stretch marks with oil for about half an hour daily. However, just applying oils to the marks (something near to soaking them

in oil) can also do wonders. If doing so, you need to apply oil for about three to four times a day. Olive oil, with all its antioxidant properties and loads of nutrients, is considered one of the best oils

for removing stretch marks but there are many other oils that you can use. They too are good when it comes to curing stretch marks. Here is the list.
• Olive oil
• Lavender oil
• Rose oil
• Frankincense oil
• Myrrh oil
• Geranium oil
• Helichrysum oil
• Chamomile oil


The best thing will be to mix certain oils and then apply to the marks. Here's the recipe.


Get this:

• lavender oil- ½ tsp
• Chamomile oil- ½ tsp
• Almond oil- 2 tsp ( you can use any other carrier oil like avocado oil, jojoba oil etc. in place of almond oil)


Do this:

• Mix lavender, chamomile oils with almond or the other carrier oil that you are using.
• Mix them well.
• Apply this oil mix to your stretch marks daily.
• Do this preferably thrice or four times a day.


4. Potato Juice to Remove Stretch Marks


This is the cheapest and one of the rapid home remedies for stretch marks. Potato is a super food due to its many components like essential fatty acids and a variety of phytochemicals, like carotenoids and polyphenols.

It also has loads of vitamins and minerals including Vitamin-C, B-complex, potassium, magnesium, calcium, phosphorus and zinc. Because a potato is capable of stimulating collagen and elastin synthesis, it can effectively restore skin cells fading away your stretch marks.


Get this:

• Potato- 1 (medium sized)
• Knife- to cut potato
• Lukewarm water- to wash off


Do this:

• Cut the potato into thick sized slices.
• Take a slice and rub it gently over your stretch marks. Ensure to apply its juice all over your marks.
• Leave it for 5-10 minutes.
• Wash off with lukewarm water.

Home-remedies-for-Stretch-Marks.jpg


5. Lemon Juice to Remove Stretch Marks

Lemons have been recognized as fine natural bleaching agents beyond doubt. The alpha hydroxy acids (AHA) and vitamin C in lemons can efficient;y remove the dead skin and make your stretch marks disappear fast.

Get this:

• Lemon- 1
• Warm water- to wash off


Do this:

• Cut the lemon into 2 halves.
• Take a half piece of lemon and gently rub it on your stretch marks.
• Feel it's juice soaking into your skin.
• Do this for at least 10 minutes.
• Then wash off with warm water.


To make it a superfast remedy for stretch marks, you can mix lemon juice with other ingredients in equal quantities (for example 1tbsp lemon juice with 1 tbsp other juice):
• Lemon juice with cucumber juice
• Lemon juice with potato juice
• Lemon juice with tomato juice.


6. Cocoa- Shea Butter Homemade Cream to Remove Stretch Marks


If you are fed up with all the stretch removal creams available in the market, make your own at home. You'll be using some very commonly available ingredients for this home made cream- those

that have been recognized as most skin friendly ingredients by all – cocoa butter, Shea butter and vitamin E oil. The natural antioxidants and emollient properties of cocoa butter lends it excellent

moisturizing ability which penetrates deep and fast into the skin repairing it and removing stretch marks. The fatty acids of Shea butter, which has been used by Africans since ages, aids cocoa

butter in repairing the skin further. As Shea butter melts at body temperature, it can be absorbed by skin very fast. Vitamin E in your cream is a powerful antioxidant which will penetrate through the layers of your skin and assist its natural wound healing process while removing the scars on it.


Get this:

• Cocoa butter- 2 tsp
• Shea butter- 2tsp
• Vitamin E oil- 1 tsp


Do this:

• Melt the Shea butter and cocoa butter.
• Add vitamin E oil to the melted butters.
• Mix well.
• Store in a container.
• The cream will get into solid state once it cools down.

Each time when you apply this cream on your stretch marks, it will melt as soon as it comes in contact with your skin. Apply this cream at least twice a day after having bath.

7. Egg Whites to Remove Stretch Marks


Egg white contains 40 different proteins. You can understand why it is so beneficial for skin health. Egg whites are also rich in collagen and vitamin A and thus can treat scars or burns too effectively. So go ahead with this remedy and apply egg white on your stretch marks. It's as simple as this-
• Take out the egg white by separating the yolk from the egg.
• Beat the egg white a little with a fork
• Apply on your marks.
• Leave for 15 minutes
• Wash off with water.

Apply some moisturizer or oil (like olive oil) after you pat dry the area.


8. Alfalfa to remove Stretch Marks


Rich in amino acids, vitamins E and K, this herb,Alfalfa is used by many to fade the marks away. You may also give it a try as they are said to be great skin toners.

Get this:

• Alfalfa Powder- 1 tsp
• Chamomile oil- few drops to make paste


Do this:

• Mix alfalfa powder with chamomile oil and mix well.
• Apply the paste to your stretch marks.
• Leave for 15 minutes.
• Wash off with water.
• Do this thrice a day.


9. Drink Water for Hydrated Skin to Aid Removal of Stretch Marks


No remedy will work effectively if your skin is not always hydrated and full of suppleness. Drink enough water (if enough means 8-10 glasses for you, have at least this much!) Not only hydrated skin detoxifies your body but also restores the lost elasticity of the skin.

10. Eat Well to Remove Stretch Marks


Apart from keeping your skin well hydrated, you also need to keep it well nourished. Lack of nutrients inside your body can never give you full benefits of creams, lotions, oils, masks or any other thing that you apply externally on your skin.

  • Have a good amount of proteins daily. Beans, fish, egg whites, yogurt, nuts and seeds like those of pumpkin, squash, and watermelon seeds, peanuts, almonds etc.
  • have foods high in Vitamin C and E to encourage growth of skin tissues. Peppers, guavas, dark leafy greens, broccoli, gooseberries, papaya, oranges, strawberries are high in vitamin C. Spinach, nuts, kale, olive oil, tropical fruits like papaya and kiwi, wheat all are rich in Vitamin E.
  • Have seeds and nuts rich in mineral content (especially zinc) during your pregnancy. This tones up your skin well.
  • Avoid saturated fats in your diet as they make you gain weigh and obesity can cause stretching of the skin giving you those ugly stretch marks.

 
Saluti wakuu, najua katika wengi hapaharibiki neno. Nawasilisha kwenu matatizo ya demu wangu anaalama katika ngozi ambazo kama vile mtu alikuwa mnene na sasa amepungua na ngozi inabaki na michirizi.

Kwa mtaalamu wa masuala ya ngozi hususani za wanawake basi asisite kutupatia elimu, kuna matatizo mengine ukisema yanakuwa mepesi. Nawasilisha wakuu.


Bio Oil - Uses

Improving the appearance of stretch marks
Bio-Oil is highly effective in helping to improve the appearance of existing stretch marks. Bio-Oil helps to increase the elasticity of the skin, thereby the possibility of new stretch marks forming is reduced.

Application



Bio-Oil should be massaged in a circular motion into the stretch marks and surrounding skin, twice daily, for a minimum of 3 months.

What is a stretch mark and how is it formed?
Stretch marks, otherwise known as striae, are caused by exactly what their name suggests – stretching of the skin.

By expanding and contracting, the skin's connective tissue allows it to adapt to continuous movement of the body; but sometimes the skin has insufficient time to adjust. When the body expands faster than the covering skin, the skin tears and forms an internal wound; this then forms a scar as it heals. These scars are visible on the surface of the skin as stretch marks.

The likelihood of developing stretch marks varies according to skin type, race, age, diet and hydration of the skin.

Those most prone to stretch marks include pregnant women, body builders, adolescents undergoing sudden growth spurts, and individuals that experience rapid weight gain.

Stretch marks are permanent in nature, and although Bio-Oil is specifically formulated to help improve their appearance, it will never remove them entirely.
 
Yap!!! kaka,

Nakushauri huyo demu wako atumie Bio-Oil, mimi wa kwangu ametumia na sasa yupo bomba.
 
Bio Oil - Uses

Improving the appearance of stretch marks
Bio-Oil is highly effective in helping to improve the appearance of existing stretch marks. Bio-Oil helps to increase the elasticity of the skin, thereby the possibility of new stretch marks forming is reduced.

Application



Bio-Oil should be massaged in a circular motion into the stretch marks and surrounding skin, twice daily, for a minimum of 3 months.

What is a stretch mark and how is it formed?
Stretch marks, otherwise known as striae, are caused by exactly what their name suggests – stretching of the skin.

By expanding and contracting, the skin’s connective tissue allows it to adapt to continuous movement of the body; but sometimes the skin has insufficient time to adjust. When the body expands faster than the covering skin, the skin tears and forms an internal wound; this then forms a scar as it heals. These scars are visible on the surface of the skin as stretch marks.

The likelihood of developing stretch marks varies according to skin type, race, age, diet and hydration of the skin.

Those most prone to stretch marks include pregnant women, body builders, adolescents undergoing sudden growth spurts, and individuals that experience rapid weight gain.

Stretch marks are permanent in nature, and although Bio-Oil is specifically formulated to help improve their appearance, it will never remove them entirely.

Asante sana kwa elimu nzuri. Sasa nikienda dukani (cosmetic shops) niulizie Bio-Oil au kuna jina la kibiashara? Tafadhali nifafanulie. Thanks.
 
Nimewahi kusikia pia cocoa butter inasaidia sana kwenye hili.
 
Wana-jf kwanza niwatake radhi wale ambao wanaweza kuona kama nimewakwaza na hili jambo lakini kiukweli kabisa nasema kwa nia njema tu ukizingatia jf ni mahali pa kuzungumza mambo kwa uwazi.

Mi huwa nachanganyikiwa kabisa ninapomuona mwanamke au msichana ana ile mistari/michirizi kwenye miguu yake.Kuanzia sehemu za mapajani kwa nyuma ya miguu kwa kweli sijui nisemeje lakini ukweli ndio huo. Najua kila mwanaume huvutiwa na chake wengine makalio makubwa, wengine miguu ya chupa ya bia, wengine matiti makubwa au madogo, wengine lips nk.

Huenda hili hata kwa akina dada lipo kama ambavyo siku moja pretty alisema yeye hupenda mwanaume mwenye kifua kipana na wengine watasema wanasema wanapenda wanaume wenye vidole gumba virefu...........!!
 
Utakuwa unashabikia sana vimini wewe! Sasa kwa wavaa suruali na sketi ndefu utaonaje hiyo michilizi ndugu yangu? Nakumbuka hata mwana FA aligusia hiyo michilizi kwenye "mimi na mabinti damu damu, sijui ina nini hiyo!" Kuna michilizi mingine imekomaa mpaka inatisha, utayakuta makubwaaaa, meusiiii, mengine yameanzia mikononi, sjui unasemaje hapo Lalingeni, ndo unakufa kabisaaa au hayo huyamaind?
 
ahaaaaa, hiyo tunaitaga MICHIRIZI YA UTAMU!!
hiyo ORIJINO inapatikana nyuma ya goto ONLY, ukiona kifuani, mikononi au makalioni ujue hiyo nikutokana na EXPANSION ya mwili yaani mwili umenenepa then ukipungua kiaina ndio hayo mamichirizi ambayo hayana mvuto kabisa!.
 
Wana-jf kwanza niwatake radhi wale ambao wanaweza kuona kama nimewakwaza na hili jambo lakini kiukweli kabisa nasema kwa nia njema tu ukizingatia jf ni mahali pa kuzungumza mambo kwa uwazi.

Mi huwa nachanganyikiwa kabisa ninapomuona mwanamke au msichana ana ile mistari/michirizi kwenye miguu yake.Kuanzia sehemu za mapajani kwa nyuma ya miguu kwa kweli sijui nisemeje lakini ukweli ndio huo. Najua kila mwanaume huvutiwa na chake wengine makalio makubwa, wengine miguu ya chupa ya bia, wengine matiti makubwa au madogo, wengine lips nk.

Huenda hili hata kwa akina dada lipo kama ambavyo siku moja pretty alisema yeye hupenda mwanaume mwenye kifua kipana na wengine watasema wanasema wanapenda wanaume wenye vidole gumba virefu...........!!
Eeh bwana wewe unatoka kagera nini?? maana kule mwanamke/msichana mwenye mazimola ni dili sana
 
Wana-jf kwanza niwatake radhi wale ambao wanaweza kuona kama nimewakwaza na hili jambo lakini kiukweli kabisa nasema kwa nia njema tu ukizingatia jf ni mahali pa kuzungumza mambo kwa uwazi.

Mi huwa nachanganyikiwa kabisa ninapomuona mwanamke au msichana ana ile mistari/michirizi kwenye miguu yake.Kuanzia sehemu za mapajani kwa nyuma ya miguu kwa kweli sijui nisemeje lakini ukweli ndio huo. Najua kila mwanaume huvutiwa na chake wengine makalio makubwa, wengine miguu ya chupa ya bia, wengine matiti makubwa au madogo, wengine lips nk.

Huenda hili hata kwa akina dada lipo kama ambavyo siku moja pretty alisema yeye hupenda mwanaume mwenye kifua kipana na wengine watasema wanasema wanapenda wanaume wenye vidole gumba virefu...........!!
Eeh bwana wewe unatoka kagera nini?? maana kule mwanamke/msichana mwenye mazimola ni dili sana
 
Wana-jf kwanza niwatake radhi wale ambao wanaweza kuona kama nimewakwaza na hili jambo lakini kiukweli kabisa nasema kwa nia njema tu ukizingatia jf ni mahali pa kuzungumza mambo kwa uwazi.

Mi huwa nachanganyikiwa kabisa ninapomuona mwanamke au msichana ana ile mistari/michirizi kwenye miguu yake.Kuanzia sehemu za mapajani kwa nyuma ya miguu kwa kweli sijui nisemeje lakini ukweli ndio huo. Najua kila mwanaume huvutiwa na chake wengine makalio makubwa, wengine miguu ya chupa ya bia, wengine matiti makubwa au madogo, wengine lips nk.

Huenda hili hata kwa akina dada lipo kama ambavyo siku moja pretty alisema yeye hupenda mwanaume mwenye kifua kipana na wengine watasema wanasema wanapenda wanaume wenye vidole gumba virefu...........!!

Udhaifu mwingine huu...kazi kweli..nasikia wengine hupenda mabinti wanovaa viatu kuanzia saizi 9!!
 
mimi jamani mwanmke awe mrefu!!!!!!!!!!!!! baaaaasi. hata awe na sura mbaya kama zimwi, siangali!!!!!!!!

sasa akiwa mrefu halafu anataka kunimaliza kabisa kama emsiilema, aniachie yale manywele, asinyoe!! hapo hata myumba nitajenga!!!!!!!
 
mimi jamani mwanmke awe mrefu!!!!!!!!!!!!! baaaaasi. hata awe na sura mbaya kama zimwi, siangali!!!!!!!!

sasa akiwa mrefu halafu anataka kunimaliza kabisa kama emsiilema, aniachie yale manywele, asinyoe!! hapo hata myumba nitajenga!!!!!!!


Hahahahahah! Umenikumbusha stori zetu za vijiweni, kuna mtu aliwahi kusema...''Mimi mwanamke awe tu anajua kuongea Kiingredha kizuri, hata kama ana t'ako moja kubwa, moja dogo sitajali!.............!!!''
 
eh jamani kila mtu apendacho ndo dawa yake, mie nikiona mwanamume ambaye akivaa suruali inajikunyata hapa katikati ya miguu huwa naishiwa nguvu, hata aje na brifukesi ya manoti wala simtamani maana najihoji nitatoka nae vipi njiani!!! huwa nahisi hata vipumbu vyake vimesinyaa kwa kubanwa na suruali khaaa maumbile mengine mtihani wallah!
 
Hahahahahah! Umenikumbusha stori zetu za vijiweni, kuna mtu aliwahi kusema...''Mimi mwanamke awe tu anajua kuongea Kiingredha kizuri, hata kama ana t'ako moja kubwa, moja dogo sitajali!.............!!!''


no wonder unaishiliaga kwa vi sis du....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom