Huwa inakomaa sana hasa kwa wale wanawake wanaoendesha baiskeli kwa muda mrefu. Mabinti wanatakiwa kukwepa sana kuendesha baiskeli ili zisije zikaondoa bikra zao-ushauri tu!
Wananyanyuana kwa hapo maana ndio katikati ya kiwiliwili,au unadnani wao wanafikiria zaidi ya zoezi lao??wanaona kiungo kilichoko hapo ni kama tuu viungo vingine vya mwili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.