Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,468
911,172
Majira imeripoti leo ya kuwa usajili wa mchezaji mahiri kutoka Ghana wa Yanga Afrika bado watanda giza.............................

Hizi ni habari za kusikitisha kwa wapenda michezo wote.....inakuwaje Yanga Afrika wamgharimie mchezaji huyo kwa mapesa kibao halafu urasimu uendelee kumkwakaza gwiji huyo wa kupachika mabao kuendeleza kipaji chake na kuisaidia klabu yake kufanya vizuri kwenye mashindano ya ndani na ya kimataifa......................

Magazeti mengine yametuhabarisha kuwa kocha mashuhuri wa klabu ya Simba ajulikanaye kama Phiri anaondoka Simba na ya kuwa amekwisha kuwakabidhi warithi wake mikoba ya ukocha wa klabu hiyo.......................

Phiri atakumbukwa kwa kuweka rekodi mwaka jana ambapo Simba ilitwaa ubingwa wa ligi bila ya kupoteza hata mechi moja................

Zimekuwepo tetesi ya kuwa kituo pili cha Phiri huenda kikawa ni Azam F. C.....kama ni kweli basi soka letu bado litaendelea kunufaika na vipaji vya kocha huyo ambaye enzi za uchezaji wake alikuwa ni kiboko....................
 
Hivi Tanzania kuna waandishi wa Habari (za Michezo)? Kila siku it is either copy&paste au TETESI!
 
Magazetini leo:

Mwananchi................. Mkataba wa Papic waielemea Yanga Afrika.............wachezaji wa yanga wampasha manji........

Champion...................Asamoah aipeleka Yanga na Simba shule

Mtanzania...................Yanga waanza kupanga hesabu za ubingwa

Majira.........................Martina aja kupanda Mlima Kilimanjaro
 
Hivi Tanzania kuna waandishi wa Habari (za Michezo)? Kila siku it is either copy&paste au TETESI!
Hard work is a prison sentence if it does not have meaning..
 
Uhuru la leo lasema.......................Nigeria wajazwa mapesa......................Gazeti la Bingwa..............Mosha: Nitatimua wachezaji Yanga..........Azam kutangaza mrithi wa aliyekuwa kocha wa timu hiyo.......

Nipashe........Ripoti za Phiri, Papic zatibua hali ya hewa.......................
 
Magazeti ya leo yanatuhabarisha ya kuwa:-

Tanzania Daima: Kocha wa zamani wa Simba ajitosa ukocha Azam

Sayari: Yanga yangeuzia kibao kosta papic........................Rage awaacha Simba kwenye mataa.........................Nchunga awaachia..............

Nipashe: Azam yaanza kumsaka kocha..................

Mwananchi; Rage: Hatima yake Simba wiki ijayo.................

Majira: Mosha:papic anaifilisi Yanga.......................

Mzalendo: Yanga yajipanga kuunyakua ubingwa........................................
 
Naomba mwenye matokeo ya klabu bingwa afrika kati ya Tp mazembe na esperance anijuze,wengine tunaishi mbali na mawasiliano!
 
Nipashe leo yatuhabarisha ya kuwa Phiri hataki mkataba wake uanikwe hadharani kwa kauli ya Mwenyekiti wa Simba Aden Rage....................

hata hivyo Bingwa wao wasema.......................Abdi kassim atoroka yanga Afrika.....................na ya kuwa talib Kocha wa Azam.......................

Champion wao wasema Asamoah amfikisha Papic kwa FIFA....................
 
Bingwa.......................Simba kutosa wawili...............................haruna moshi kikosini..........................

Uhuru............................Yanga yaishangaa TFF

Majira.............................Yanga kumrudisha Mbegu kundini?

Daily news...............................Defeat by Zanzibar irks Mainland...............

Guardian................Zanzibar yatangaza kikosi cha wachezaji 25 kushiriki challenge.................

Nyinginezo..........................Nonda alonga........bila ya yanga ningefia nyumbani.......Yanga yapinga kipa wake kufungiwa...................
 
Bingwa.......................Simba kutosa wawili...............................haruna moshi kikosini..........................

Uhuru............................Yanga yaishangaa TFF

Majira.............................Yanga kumrudisha Mbegu kundini?

Daily news...............................Defeat by Zanzibar irks Mainland...............

Guardian................Zanzibar yatangaza kikosi cha wachezaji 25 kushiriki challenge.................

Bingwa................Simba kuwa na timu tatu......................Simba kuchukua wachezaji 2 kwenye dirisha dogo kutoka kwa yanga............................Moshi, Boban.................Kenya yataka kucheza na taifa Stars........

Mwanaspoti...........................Asamoah aushika usajili wa Mzambia.................Papic amtaka kiongozi yanga kumtimua mara moja kama hana uwezo wa kuifunza Yanga...................

Nyinginezo..........................Nonda alonga........bila ya yanga ningefia nyumbani.......Yanga yapinga kipa wake kufungiwa...................
 
Kaseja atinga TFF.........................Papic afungashiwa virago vyake Yanga..........................Manji auagiza uongozi wa yanga kutafuta kocha mpya kabla ya mei 2011...................................Mwaikimba yuko tayari kurudi Yanga.................sasa hivi yupo kagera Sugar...................................

Mwananchi yaripoti..............................Manji ataka kumrejesha Nyangasa..........................Kavanaro: Hatuiogopi Ivory Coast..................

Msanii Afrika .......................Mwakalebela aanzisha timu

Kwingineko kule.........................................Manji: Asamoah, Ngassa wasajiliwwe lakini Papic hapana.................

Daily News.......................Why players snub handshake........................

The Citizen:........................Stars to play Harambee

Drogba, Oliech kutua Nov 24th ..............................Manji amtwisha zigo Mosha...............................Manji amsusia Mosha

Kocha Mbrazil aletwa kuinoa Simba................................

Nchunga amvutia pumzi Manji.....................................RUngu la TIbaijuka lauta kwa nsa Job..............................

Nizar: Siwezi kurudi Kili Stars.............................
 
Mwananchi ya leo..................CEcafa yalamba Tshs 648 milioni.....................Uongozi Yanga kupinga upepo mchafu..........

Majira.................Yanga kutakiwa kutafuta mkaguzi................ Mosha afarijika na kauli ya Manji

Uhuru Poulsen: Kili Stars kiwango yazidi kuporomoka........................

Rai..............TFF imejivunjia heshima...............................

Sauti ya Watu.....................Moto wafukuta Yanga.............

Nipashe.....................Tanzania yaanguka tena viwango FIFA...............

Habari Leo............Manji ataka kipa mzungu auzwe........................

Sayari.......................................Yanga yaiingiza bilioni 1 ndani ya siku 100.......................lakini matumizi yake Mmmmmmmhhhhhh.....................Mangi ataka mahesabu ya yanga yakaguliwe kwa sababu hawawezi hata kumtibu mchezaji aliyeumia...........

Burudani...........................siondoki Simba ng'o...............................................
 
Ukiona moshi unafuka ujue na moto upo
Yanga bakora zitatembea muda c mrefu

Kwa nini bakora? Kama watu wamekula hiyo bilioni mahali pao ni polisi na baada ya hapo mahakamani.................na huko ni kifungo au jela.........sasa bakora za nini ulimwengu huu wa karne ya ishirini na moja?
 
Mwananchi.....................Poulsen: Beki ya kati ni tatizo......................Mchunga: Manji acha kuendeleza migogoro Yanga.................

Daily News.........................JK touts sports Development................

Nipashe.............................Simba: Hatuna mpango na Boban...............Yanga kwawaka moto.......................

Uhuru................................Kikwete: Wanamichezo msigombane..........................

Jambo leo..........................Mwakalebela na Kayuni kuitia matundu sifa ya TFF.....................

Mtanzania................................................Manji, Yanga kumaliza tofauti zao........................

Zanzibar Leo.................................Wanaowinda uraisi ZFA wasukiwa zengwe....................................

Champion..........................................Manji awaita Simba mezani..........................................

Bingwa.........................Gogoro Yanga hilooooooooooooooooooooo........................Simba kuonyesha wapya kesho...........
 
Mwanaspoti....................Mzambia: Nimekuja Yanga kufunga magoli............................Kocha Phiri: Hawa mafowadi ni kiboko

Bingwa........................Nyota wa uganda ajiunga Yanga..................Uza wote: Man City kupiga mnada wachezaji wote....................

Habari Leo: Taifa Stars na Twiga Stars hawachekani................................

Uhuru.....................Wawili wa kulipwa kujiunga na Kili Stars...........................
 
Nipashe...........Viongozi yanga dhaifu...........wasema wanachama..................Lyon kwenda marekani April........

Mwananchi...........Manji: Ninataka Yanga iwe kama T.P Mazembe..............T.P Mazembe yakosa nafasi 10 bora Afrika.............

Majira...........................Simba si lolote kwa Azam........................Yanga kumwuuza Kipa mzungu kwa mkopo Lyon...........................Kauli ya Kikwete yaigusa Yanga.....................uanzishwaji wa timu za..................

Kwningineko kule....................................Yanga kumleta kocha wa T.P Mazembe..................kuinoa Yanga...............ikumbukwe T.P Mazembe ni mabingwa wa Afrika.............

Mkataba wa Papic upo ukingoni.........................Azam yainyoa Simba 3-2.................................Arsenal na Chelsea zafa................
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom