Hahahaaa so unaogopa kichapo.....tehNia ninayo,tatizo hashycool ni graduate shingshonghung school of karate,nitasalimika kweli nikiingia anga zake?
As of Eliza wa Tegeta well niseme nini ? Sana sana Mwanakijiji kasababisha nirudi CCM.
Hahahaaa so unaogopa kichapo.....teh
Dah ngoja basi tukusaidie kumtafuta ila sasa itabidi usimfanyie km ulofanya kwa E wa T maana nayeye atatafuta small house bila kujali umemnunulia Rav 4
Teh ndo maana kaamua kuja na kuomba msaada eti E wa T anampasua kichwa wakati nahisi yeye ndo asua kichwa halafu anaingilia sana ndoa ya Nitty sijui anataka kumpindua kwa SLE wa T, kiboko ya Byshernger.
Ila bepari naye kazidi kufakamia hawa viepe dume, hatuwezi sie wa kempkisky.
Hii couple ya E wa T na Mwanakijiji mbona siilewi. Wote wanajua kua ni couple au ndio yale ya mtu kutangazwa ni mume wakati hajui ana mke?Nia ninayo,tatizo hashycool ni graduate shingshonghung school of karate,nitasalimika kweli nikiingia anga zake?
As of Eliza wa Tegeta well niseme nini ? Sana sana Mwanakijiji kasababisha nirudi CCM.
Hapa ni kwamba Bishanga anampa kashfa E wa T ili aonekane kahamia kwa Mwanakijiji ili apate ruksa ya kuwa na Michelle ila ukweli mwanakijiji hajui loloteHii couple ya E wa T na Mwanakijiji mbona siilewi. Wote wanajua kua ni couple au ndio yale ya mtu kutangazwa ni mume wakati hajui ana mke?
Hii couple ya E wa T na Mwanakijiji mbona siilewi. Wote wanajua kua ni couple au ndio yale ya mtu kutangazwa ni mume wakati hajui ana mke?
Ushaliwa kwa MMJ kama ndo ilikuwa yako.
Mie jana kwenye kapo mpya nilikuwa nachunga sana mtu asimtaje naniliyu.
ule mzimu wangu ungewuwa mtu.
Pole kama wamekukwapulia.
Hee kwani si walikutaja Konny na Lizy au hamkuona?Ushaliwa kwa MMJ kama ndo ilikuwa yako.
Mie jana kwenye kapo mpya nilikuwa nachunga sana mtu asimtaje naniliyu.
ule mzimu wangu ungewuwa mtu.
Pole kama wamekukwapulia.
Hapa ni kwamba Bishanga anampa kashfa E wa T ili aonekane kahamia kwa Mwanakijiji ili apate ruksa ya kuwa na Michelle ila ukweli mwanakijiji hajui lolote
Braza nipitishie senene ulizopewa na uncle ukifikisha kwa SL ndio imetoka.
Hashcool akitokeza tu na michelle huyo
Hehehehe nilikuona ulivyokua umekaa kijeshi!!!Ingekua soo.
Naaah. . .hata sio. Ila najaribu kujiuliza lini walikubaliana nakosa jibu, rahisi kuamini ni kwamba mmoja anapenda japo mwenzie hajui.
Nimekuja na gunia zima muone SL hivi kumbe harshycool na michelle ni couples?
Nahisi kuna kitu wanatuzunguka hapa.....ila tutajua tuAhhhhhh. . .
Hapo sasa nimeelewa. Ila mbona nae E wa T nilimwona akikampenia hiyo kapo? Au wana kamchezo kao na Byshainga?
We unachelewa kuvuna senene mwenzako(Bishanga) kashakuzunguka.....km unabisha watafute yeye na SL kama utawapata....Nimekuja na gunia zima muone SL hivi kumbe harshycool na michelle ni couples?
Hahahahaha!!INAWEZEKANA.itakuwa E wa T kawa proposed ndotoni, sasa anashindwa kukubali ilikuwa ndoto.
Ha ha , why nisiwuwe, nimemkuta hapa anashangaa, nikamkwapua, akawa King afu ndo nikwapuliwe???
Nitapigana vita vya maji maji.
We unachelewa kuvuna senene mwenzako(Bishanga) kashakuzunguka.....km unabisha watafute yeye na SL kama utawapata....
Hahahahaha!!INAWEZEKANA.
Hehehehehe. . . siunajua wengine akishakua wa mtu ndio wanamuona mtu. Sema bahati nzuri hamna aliyethubutu hata kujipendekeza.