Ulipotelea wapi weye mpaka SL akaniomba nimwombee radhi kama kakukosea?
Una namba ya simu ya Hashycool?
Ulipotelea wapi weye mpaka SL akaniomba nimwombee radhi kama kakukosea?
Una namba ya simu ya Hashycool?
Mkuu nilienda kuvuna senene network ikazingua ikabidi nilime kidogo kashamba kangu. Harshycool namba yake sina huyu ndio nani tena halafu nae kapotea kweli
Bishanga ndo unatafuta replacement ya Eliza auNani kakuudhi jamani? Mbona umesusa jamvi? Kunani? Kama kuna aliyekukera nambie nimpige ban fasta.pliiiiz jongea chit chat angalau tukutie machoni kidogo..................
Mmmhhhh nna mashaka,nitts yuko shamba kamzimia na simu SL,sijui wamegombana nini?
Teh kwani bado unampango wa kurudi kwa E wa T?Shhhhhhhhhhh ongea pole pole!
You mean nitts na SL washaoana?
Feis buku yuko facebookTena kweli aisee,huyu mrembo naye kajichimbia wapi?
Wameoana ila nahisi ni ndoa ya Bar au bomaniYou mean nitts na SL washaoana?
Nia ninayo,tatizo hashycool ni graduate shingshonghung school of karate,nitasalimika kweli nikiingia anga zake?Teh kwani bado unampango wa kurudi kwa E wa T?
Kama huna kuwa wazi tukusaidie kumtafuta Michelle faster.....
Usivunge