Jaman kunani michell kafanya nini mpaka wamembarn? tususe au tugome ili wamrudishe haraka? binafsi nam miss
Amelimwa ban? jana alinifurahisha sana kwa mitazamo yake na michango yake katika bunge.
free michelle please!!!!!!
Ni msimu wa Ban huu, ukiteleza tu.....ban!!
Kama hii ni kweli basi mtu apigwe BAN la kutokupigwa BAN kwasababu kaomba BAN.. this is creating unneccessary work for MODSAmeiomba mwenyewe kama alivyoomba Maria Roza wakati ule, na Afrodenzi kwa sasa.
kweli kabisa mkuu KIGOGO ana mwezi wa 3 sasa kapigwa ban...
I dont think if its creating unneccessary work for MODS kama ukiomba BAN wakakupa, btw to BAN someone its just a matter of seconds if not minutesKama hii ni kweli basi mtu apigwe BAN la kutokupigwa BAN kwasababu kaomba BAN.. this is creating unneccessary work for MODS