zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Mlimwa Secondary.
Shule hii ipo kata ya mnadani.
Kwa form 1 wote wanaotarajia kujiunga na Shule hyo.
Mchango wa tahadhari-5000
Mchango wa Ujenzi-15000
Mchango wa Taaluma-10000
Mchango wa kitambulisho-5000
Mchango wa Nembo -2000
Mchango wa Tshirty-5000
Karatasi bunda 1
Mchango wa Maendeleo-10000
Mchango wa bili ya Maji-4000.@1
Mchango mshahara wa mlinzi-5000
Namba za Mkuu wa shule.ni 0756084703 kwa maelezo zaidi.
Dawati moja-60000
Hyo michango ni halali.
Source ni form yao ya kujiunga.
Shule hii ipo kata ya mnadani.
Kwa form 1 wote wanaotarajia kujiunga na Shule hyo.
Mchango wa tahadhari-5000
Mchango wa Ujenzi-15000
Mchango wa Taaluma-10000
Mchango wa kitambulisho-5000
Mchango wa Nembo -2000
Mchango wa Tshirty-5000
Karatasi bunda 1
Mchango wa Maendeleo-10000
Mchango wa bili ya Maji-4000.@1
Mchango mshahara wa mlinzi-5000
Namba za Mkuu wa shule.ni 0756084703 kwa maelezo zaidi.
Dawati moja-60000
Hyo michango ni halali.
Source ni form yao ya kujiunga.