Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #21
so far.. leo tu kuna pledges za 570,000.. lets do it WATANZANIA... CHANGE IS NOT WHAT WE PRAY OR WAIT FOR, IT IS WHAT WE BRING!
so far.. leo tu kuna pledges za 570,000.. lets do it WATANZANIA... CHANGE IS NOT WHAT WE PRAY OR WAIT FOR, IT IS WHAT WE BRING!
Twendeni kufanya kufanya kweli... jamani hata kwenye mechi zetu enzi zile si wote tulikuwa wachezaji lakini baadhi walinunua machunga na machenza kuwapa moyo wachezaji.. be part of something bigger than yourself.. be part of history..!
pesa tu ziwe salama, tuspigwe changa la macho
Asante mzee. Naona zile za sms hazipo hapo. halaf kama CHADEMA wanaweza kuwajumuisha tigo kwenye hii njia ya sma, kwani siku hizi vijana wengi tuko huko...
"CHADEMA" kwenda namba 15710
"NAJIUNGA" kwenda namba 15710
"SLAA" kwenda namba 15710
Unaweza kutuma meseji mara nyingi kadri unavyoweza na kila ujumbe utagharimu TZS 350/= tu.
HII NI KWA MITANDAO YA ZAIN, TIGO NA VODACOM TU.
Kapu la mjanja, mjinga hatii mkono! wachaga sasa mna tapeliana wenyewe kwa wenyewe. Hivi hamja jifunza ya mwaka 1995? Kama namuona Mwenyekiti Mbowe meno yote nje mwaka huu anakula kwa ulaaaiiiniiiii!
Wale akina mwenzangu mie chezeni ngoma msio ijua, wakati mnastuka too late! wenye ngoma yao akina Augustino Moshi wanacheka tu!
Sorry Mkjj can this b done thru paypal and how? If necessary ni-PM