Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Kichakoro

JF-Expert Member
Sep 10, 2008
3,056
5,361
Kwa wale wote waliopo ndani na nje ya Tanzania wenye nia ya kuanzisha kampuni Tanzania lakini hawajui waanzie wapi GM Business Develepment Consult ltd watakupatia jibu

Kwa wale tayari wapo kwenye biashara lakini hawana mpango wa biashara(business Plan) na wala hawajui waanzie wapi GM Bus. Dev. Consult Ltd wanalo jibu.

Kwa wale wenye kuandaa mijadala, workshops, mikutano lakini wangependa kusaidiwa kuiandaa mijadala/workshops/Mikutano kutana nasi kwani tunaouzoefu wa kimataifa.

kwa huduma zetu mbali mbali na maelezo zaidi wasiliana nasi

Mkurugenzi
GM Business Development Consult Ltd
P.O.Box 62297 Dsm
simu 0715 737302 ama 0784 737302
barua pepe info@gmconsultz.com
tovuti www.gmconsultz.com
 
Nice to hear that!

I will soon need this.


Karibu sana na napenda kuwaaambia kwamba we have the best rates ever in town.

Na sasa tuko kwenye promotion the first 16 client will get 50% discount of the normal rate. kesho will tell more about this offer

karibuni sana
 
Bei zao ndio msala....


Mkuu usiogope ukubwa wa samaki uliza bei. We are offering our services at reasonable and affordable prices so dont hesitate to contact us.

the first 3 client for each service we provide will get 50% discount, that makes a total of 15 first clients. read more on www. gmconsultz.com
 
Jamani basi hata themes za websites zenu ziendane na kile mnachofanya.
 
Nyie watu mko expensive sana nawajua vizuri, labda kama mmeamua kupunguza bei zenu na promotion unazosema. proposal ya 100 million hujui nitapata au la wewe unataka 20% on the spot bila huruma.

Dear Caroline,

Nasikitika sana kwa kutoa habari zisizo na ukweli. Hatujawahi hata kumtoza mtu hata zaidi ya 5% na sijui hizo rate zako umezipata wapi.

Pole sana kama ulikutana na watu wengine wakajitambulisha wanatoka kwetu. Kwa hakika piga simu 0715737302 ama 0784 737302 utaongea na mkurugenzi wetu.
We have very competitive rates you will never have anywhere in Tanzania.

Karibu kwa maongezi na ujionee mwenyewe badala ya kusikiliza ya watu
 
Jamani basi hata themes za websites zenu ziendane na kile mnachofanya.

ZAKUMI,

tutashukuru kupata feedback zako kama umeona dosari yeyote kwenye website ama kwenye huduma zetu unaweza wasiliana nasi moja kwa moja info@gmconsultz.com ama unaweza kutupm ama hata ukiandika hapa we are read to be criticized, educated and hata kupongezwa. Karibu kwa maoni yako
 
ZAKUMI,

tutashukuru kupata feedback zako kama umeona dosari yeyote kwenye website ama kwenye huduma zetu unaweza wasiliana nasi moja kwa moja info@gmconsultz.com ama unaweza kutupm ama hata ukiandika hapa we are read to be criticized, educated and hata kupongezwa. Karibu kwa maoni yako

Nikipata nafasi nitakupa feedback. Lakini hilo ni kosa linalojitokeza katika websites nyingi za watanzania.
 
Jamani wana jamvi wezangu naombeni mawazo yenu. Tuko vijana wawili tunataka kuanzisha kiji kiwanda cha kukamua mafuta ya alizet mkoani Dodoma. Tulipo fikia ni kwamba tunajua bei za machine ambazo zinaitajika pamoja na bei zake. je kuna mtu ana some experiance juu ya maswala haya ili tuweze kujuzana na tupate mwangaza.
 
Jamani wana jamvi wezangu naombeni mawazo yenu. Tuko vijana wawili tunataka kuanzisha kiji kiwanda cha kukamua mafuta ya alizet mkoani Dodoma. Tulipo fikia ni kwamba tunajua bei za machine ambazo zinaitajika pamoja na bei zake. je kuna mtu ana some experiance juu ya maswala haya ili tuweze kujuzana na tupate mwangaza.

Kwanza sahihisha hapo pekundu. Sema tunataka kuanzisha kiwanda. Pili hongereni sana kwa kujua kuwa mnaweza kuanzisha kiwanda. Tatu,nawashauri tafuteni nauli kidogo halafu mwende pale Singida mjini mtaa wa SIDO,ili mkajionee viwanda vilivyopo pale, pale mtaona aina nyingi sana za mashine na mtajifunza kwa kuuliza na kuona. Kuna viwanda vingi sana pale ni vema mkajifunza kupitia vitendo zaidi kuliko nadharia.

Ikibidi mfanye kazi kama vibarua hata kwa mwezi ili mjue siri zaidi za operation. Huu ni mtizamo wangu.
 
Tulifika SIDO Dar es salaam, wakatushuri, wakatupa pamoja na bei za machines. pia waliyupa ushauri unaotaka kufanana na wakwako ila wao walituambia twende Morogoro pia kuna viwanda vingi around SIDO. BTW ahsante kwa ushuri.
 
Tulifika SIDO Dar es salaam, wakatushuri, wakatupa pamoja na bei za machines. pia waliyupa ushauri unaotaka kufanana na wakwako ila wao walituambia twende Morogoro pia kuna viwanda vingi around SIDO. BTW ahsante kwa ushuri.

Usifanye ajizi,fanyia kazi uamuzi wako. Muda wako ndio huu,na kesho huijui. Halafu usidhani mwenye wazo hili uko peke yako,wako wengi. Tofauti ni action plan na time frame zetu, vinginevyo nikutakie mafanikio.
 
Jamani wana jamvi wezangu naombeni mawazo yenu. Tuko vijana wawili tunataka kuanzisha kiji kiwanda cha kukamua mafuta ya alizet mkoani Dodoma. Tulipo fikia ni kwamba tunajua bei za machine ambazo zinaitajika pamoja na bei zake. je kuna mtu ana some experiance juu ya maswala haya ili tuweze kujuzana na tupate mwangaza.

Mkuu hongera, mimi niko kwenye biashara ya alizeti tayari. Je unataka business plan ili ukope au ni kwa ajiri ya upembuzi yakinifu ktk kutaka kujiridhisha na kuona kuwa biashara inalipa?

Nakushauri usome website hii: www.entrepreneurmag.co.za

Watakusaidia sana katika kuandaa huo mchanganuo na vitu vingine vingi
 
Mkuu hongera, mimi niko kwenye biashara ya alizeti tayari. Je unataka business plan ili ukope au ni kwa ajiri ya upembuzi yakinifu ktk kutaka kujiridhisha na kuona kuwa biashara inalipa?

Nakushauri usome website hii: www.entrepreneurmag.co.za

Watakusaidia sana katika kuandaa huo mchanganuo na vitu vingine vingi
Mkuu Nashukuru sana kwa msaada wako hasa katika link ambayo umenipatia.
Hata mimi niko kwenye biashara ya mafuta ya alizeti, lakini ni kwa level ya uuzaji wa rejareja. tumekua tukichukua mafuta viwandani Dodoma kwa jumla kuanzia dumu 50 na kuyapaki upya kwenye vyombo vya lita moja na lita tano na kuyauza hapa mjini Dar.

lakini kila tukienda kuchukua mafuta nimekua nikitamani sana ku grow katika hii industry hata nikafikia hatua ya kumiliki kiwanda na kuanza kukamua mwenyewe kwani kule viwndani bei zao haziko stable.

Elimu yangu ni kidato cha sita sina uzoefu sana katika kuandaa na kuandika mchanganuo ndo maana nimejitokeza ili niweze kupata mwanga kwa ambao mna uzoefu juu ya maswala kama hayo. ili nijiandae kutafuta source of funds. -Ahsanteni
 
Mkuu Nashukuru sana kwa msaada wako hasa katika link ambayo umenipatia.
Hata mimi niko kwenye biashara ya mafuta ya alizeti, lakini ni kwa level ya uuzaji wa rejareja. tumekua tukichukua mafuta viwandani Dodoma kwa jumla kuanzia dumu 50 na kuyapaki upya kwenye vyombo vya lita moja na lita tano na kuyauza hapa mjini Dar. lakini kila tukienda kuchukua mafuta nimekua nikitamani sana ku grow katika hii industry hata nikafikia hatua ya kumiliki kiwanda na kuanza kukamua mwenyewe kwani kule viwndani bei zao haziko stable. Elimu yangu ni kidato cha sita sina uzoefu sana katika kuandaa na kuandika mchanganuo ndo maana nimejitokeza ili niweze kupata mwanga kwa ambao mna uzoefu juu ya maswala kama hayo. ili nijiandae kutafuta source of funds. -Ahsanteni

Mkuu nakupongeza sana nami niko njiani kuanzisha kitu kama hicho, elimu yako ni kubwa sana kwa ujasiri ulionao don't let down yourself.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom