Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Kwa mara nyingine zile hisia kwamba kila Michael Wambura akijitokeza mahali lazima mgogoro ulipuke..zimekuwa kweli.
Hivi TFF wasingemchuja kugombea bado angeenda mahakamani kupinga eti TFF haina mamlaka ya kusimamia bali yenyewe ni mtazamaji tu wa uchaguzi...
Achana na uongozi wa soka bwana, kwani wewe tu ndiyo unafaa..... kuna shughulu nyingine kibao za kufanya kwanza bado umri wako bado unadai, kajiffunze hata ukocha siyo lazima uwekiongozi wa simba....aagh.......na Simba ikifungiwa, utatutambua! usjije kukanyaga shamba la bibi!
Mambo ya soka yanaishia kwenye soka, hujui!? na bado untaka uongozi?
Hivi TFF wasingemchuja kugombea bado angeenda mahakamani kupinga eti TFF haina mamlaka ya kusimamia bali yenyewe ni mtazamaji tu wa uchaguzi...
Achana na uongozi wa soka bwana, kwani wewe tu ndiyo unafaa..... kuna shughulu nyingine kibao za kufanya kwanza bado umri wako bado unadai, kajiffunze hata ukocha siyo lazima uwekiongozi wa simba....aagh.......na Simba ikifungiwa, utatutambua! usjije kukanyaga shamba la bibi!
Mambo ya soka yanaishia kwenye soka, hujui!? na bado untaka uongozi?