michael shirima on another mission

Semilong

JF-Expert Member
Mar 5, 2009
1,712
219
I&M bank ya kenya na michael shirima wa precion airways wamenunua CF union bank.

hawa I&M bank ni wazuri kwenye mikopo ya nyumba mortgage.

kila la kheri shirima
 
I&M bank ya kenya na michael shirima wa precion airways wamenunua CF union bank.

hawa I&M bank ni wazuri kwenye mikopo ya nyumba mortgage.

kila la kheri shirima

Kwenye red (Precision Air)

Kwa hiyo? unataka kusemaje?
 
Maiko shirima (wa tanzania)..precision airways (ya wa-kenya na maiko shirima)...I&M bank (ya wa-kenya)...CF Union bank (ya wa-nani?)...mnhhh..let me connect some few dots n i'll be back
 
Maiko shirima (wa tanzania)..precision airways (ya wa-kenya na maiko shirima)...I&M bank (ya wa-kenya)...CF Union bank (ya wa-nani?)...mnhhh..let me connect some few dots n i'll be back
I&M moves into Tanzania for a regional footprint

I%2526M.jpg
I&M Bank customers at the Kenyatta Avenue branch in Nairobi. The bank plans to take advantage of the EAC common market and open business across East Africa. Fredrick Onyango
By MICHAEL OMONDI (email the author)
Your Email Message Send Cancel



Posted Monday, January 25 2010 at 19:06

I&M Bank has acquired a Tanzanian bank for an undisclosed amount in a deal that underlines the growing trend of local banks seeking a foothold in the regional financial market.
The bank said in a statement Monday that it has acquired a controlling stake in CF Union Bank following a complete buyout of the bank by consortium that included PROPARCO of France, a Mauritius based private equity Kibo Fund and Michael Shirima, a Tanzanian business man.
CF Union Bank has three branches-two in Dar es Salam and the other in Arusha.
Arun Mathur, the CEO of I&M Bank said that the deal had been informed by the need to capture and serve the growing number of local firms that are spreading their reach beyond the Kenyan market.
"It could also influence other corporates, who require cross-border financial structures as well as those who have extensive trade dealings within the region, to move to us since we now have a presence in Tanzania," added Mr Mathur.
The East Africa market is becoming increasingly important as the East African Community (EAC) common market takes shape since it came into effect on January 1, opening way for the free movement of labour, capital, goods and services in a market of 126 million persons.
A growing number of mid-sized firms are lining up to join the likes of East Africa Breweries Limited, Crown Berger and East Africa Cables in setting up operations in the East Africa countries including Tanzania, Uganda, Rwanda and Burundi.
Local banks have taken the cue and are establishing deals and opening operations from scratch in an effort to tap into the growing clientele base.
Banks such as KCB Group, Diamond Trust Bank and Equity Bank have been at the forefront in pushing the regional agenda.
The I&M Bank is now looking at making more acquisitions across the East Africa region egged on by a Sh1.2 billion war chest it received from two lenders on January 12.
The lenders-PROPARCO of France and DEG of Germany-grew their stake in the bank from 11.9 per cent to 21.7 per cent in the cash- for- shares deal.
"We will continue to explore such expansion opportunities in other neighbouring countries in the region," said Mathur. The bank said its first priority will be Rwanda and that it would prefer to make acquisitions rather than set operations from scratch in keeping with its buyout strategy for expanding into new markets.
In 2008, the bank acquired a 50 per cent stake in Mauritius bank, BankOne Ltd, for Sh1.1 billion.
It also acquired Biashara Bank in December, 2002 for Sh410 million in an effort to grow its share of Kenyan market.
An acquisition provides an easy solution unlike in the case of setting up shop, from scratch, which could involve buying land, putting up buildings, hiring local staff, seeking regulatory approval, struggling to lure deposits and fighting for market share against established rivals.
The buyout, however, does not give I&M Bank an easy foothold in the battle for market share since CF Union Bank is a low tier bank in a corporate banking market dominated by Stanbic bank, Standard Chartered bank and Barclays Bank.
"CF Union Bank fitted into our criteria with a clean balance sheet and size manageable for I&M Bank," said Mr Suprio Sengupta, I&M's general manager.
The balance sheet of CF Union Bank stood at Sh4.7 billion in December 31, which pales compared to I&M's assets of Sh42 billion in 2008.
I&M Bank will also have to contend with premium buyout prices that have made it difficult for local banks to match the asking prices, especially in Rwanda where increased acquisition interest by pan African banks, especially from oil rich West Africa, has ramped up the asking prices.
Since its conversion to a fully- fledged bank in 1996, I&M bank has been on the expansion trail, a move that has seen its profits grow from Sh345 million in 2005 to Sh1.1 billion in 2008.
Locally, the bank has 13 branches and is set to open four more in quarter one as it seeks to grow its share of the lending market, which stood at 3.8 per cent, besides growing its ATM network.

Business Daily:  - Company Industry |I&M moves into Tanzania for a regional footprint
 
I&M bank ya kenya na michael shirima wa precion airways wamenunua CF union bank.

hawa I&M bank ni wazuri kwenye mikopo ya nyumba mortgage.

kila la kheri shirima

Kama wataleta hii mikopo inaweza kuwa ukombozi kwenye ujenzi wa nyumba kwa watu wa kipato cha kawaida. Ni bank gani nyingine zinazotoa mortgage kwa Tanzania?
 
Kama wataleta hii mikopo inaweza kuwa ukombozi kwenye ujenzi wa nyumba kwa watu wa kipato cha kawaida. Ni bank gani nyingine zinazotoa mortgage kwa Tanzania?

Baada ya kupitishwa sheria Na. 16 na 17 ( Unit Titles Act na Mortgage Financing) 2008, Bank of Tanzania kwa kushirikiana na commercial banks with help of world bank wameunda Tanzania Mortgage Financing Company. Baadaye watauza shares za kampuni hii kwa financial insitutions ili imilikiwe na hawa. Wanategemea baada ya hapo TMFC itakuwa guarantor wa mikopo ya nyumba. Mabenk ambayo tayari yanatoa mikopo ni pamoja na Azania, CBA na ya tatu siikumbuki sasa hivi. Ukweli tumeanza kuelekea kwenye mortgage market.

Tatizo mwanzoni watu wengi hasa wapangaji wa National Housing walidhani sheria ile ni ya kuwataka National Housing wawauzie wapangaji zile nyumba zao, ambazo kama mnajua zimekaa mahali pazuri kila sehemu nchini. NHC wao wanafikiria badala ya kuziuza wavunje wajenge majumba makubwa (apartment blocks) halafu ndio sasa wawauziwe wananchi, maana yake ni hivi kule Upanga kwa mfano blocks nyingi zina flat 4 had 6, sasa watajenga kama 50 au zaidi kwenye kiwanja hicho hicho na watauza kwa bei nzuri na watakaofaidika ni watu zaidi.

Huyu Mjarislimali Shirima ananifurahisha sana. Maana Precision sasa hivi ina ndege za kutegemewa na inazidi kupanuka. Hakubweteka na biashara nzuri ya Precision, ila ameona heri awekeze mayai yake ndani ya zaidi ya kapu moja, kudos Michael
 
Baada ya kupitishwa sheria Na. 16 na 17 ( Unit Titles Act na Mortgage Financing) 2008, Bank of Tanzania kwa kushirikiana na commercial banks with help of world bank wameunda Tanzania Mortgage Financing Company. Baadaye watauza shares za kampuni hii kwa financial insitutions ili imilikiwe na hawa. Wanategemea baada ya hapo TMFC itakuwa guarantor wa mikopo ya nyumba. Mabenk ambayo tayari yanatoa mikopo ni pamoja na Azania, CBA na ya tatu siikumbuki sasa hivi. Ukweli tumeanza kuelekea kwenye mortgage market.

Tatizo mwanzoni watu wengi hasa wapangaji wa National Housing walidhani sheria ile ni ya kuwataka National Housing wawauzie wapangaji zile nyumba zao, ambazo kama mnajua zimekaa mahali pazuri kila sehemu nchini. NHC wao wanafikiria badala ya kuziuza wavunje wajenge majumba makubwa (apartment blocks) halafu ndio sasa wawauziwe wananchi, maana yake ni hivi kule Upanga kwa mfano blocks nyingi zina flat 4 had 6, sasa watajenga kama 50 au zaidi kwenye kiwanja hicho hicho na watauza kwa bei nzuri na watakaofaidika ni watu zaidi.

Huyu Mjarislimali Shirima ananifurahisha sana. Maana Precision sasa hivi ina ndege za kutegemewa na inazidi kupanuka. Hakubweteka na biashara nzuri ya Precision, ila ameona heri awekeze mayai yake ndani ya zaidi ya kapu moja, kudos Michael

Current Chairman wa TMFC ni Charles Kimei.
 
kweli...alonacho anaongezewa..asonacho..hata kile alonacho hunyang'anywa na kupewa alonacho!!
 
Current Chairman wa TMFC ni Charles Kimei.
walikuwa wana recruit ceo na senior positions sijui wameshamaliza na hata address zao ni hq ya crdb

pamoja na watu kumchukia kimei bado namuona ni mtu aliyeitoa crdb chini na kuifikisha hapo ilipo, ni mchapa kazi sana na uwezi ukamfananisha na ma ceo wengine waTZ walioua makampuni.
katika makampuni makubwa TBL, NMB, Twiga cement, Crdb, voda, tigo ,zain ceo mtz ni mmoja tu ni yeye na reputation yake iko juu
 
Kama wataleta hii mikopo inaweza kuwa ukombozi kwenye ujenzi wa nyumba kwa watu wa kipato cha kawaida. Ni bank gani nyingine zinazotoa mortgage kwa Tanzania?
kama alivyosema njilimbera kwa kuongezea tu
ukiwa na kiwanja azania bank wanatoa mkopo wa kujenga nyumba
 
walikuwa wana recruit ceo na senior positions sijui wameshamaliza na hata address zao ni hq ya crdb

pamoja na watu kumchukia kimei bado namuona ni mtu aliyeitoa crdb chini na kuifikisha hapo ilipo, ni mchapa kazi sana na uwezi ukamfananisha na ma ceo wengine waTZ walioua makampuni.
katika makampuni makubwa TBL, NMB, Twiga cement, Crdb, voda, tigo ,zain ceo mtz ni mmoja tu ni yeye na reputation yake iko juu

hakuna anayemchukia kimei, bali tunapinga benki yetu kudhamini gharama za shughuli za kisiasa na yeye mwenyewe kujihusisha direct akiwa ceo wa public institution ambayo wateja na wanahisa wake ni wanachama wa vyama vyote.
He should either step out of polictics (stop political supporting) or step out of the benk ili awe kwenye siasa zaidi.
 
huyu shirima pia ana hisa nyingi Akiba Commercial Bank
The man is really a success story, ila jinsi precission inavyotanuka kwa kasi ya ajabu kwa kununua ndege mpya kila mwezi, mind well ni kununua, na sio kukodisha!, volume ya bussiness ya ndege anayoifanya haiwezi kuhumili uwekezaji mkubwa hivyo. Kwa maneno mengine kuna mahali amepata mkopo mkubwa, na sio kutoka IFC wala Proparco, maana hawa wako trasparent wangesema.

Sasa kama PAA ndio hiyo inazidi kupaa kwa kasi hiyo, na huku mmiliki ndio huyo anazidi kufanya divesification, that means something more. Kuna uwezekano mkubwa japo front line anaonekana Shirima, backbone yake wanaweza kuwemo kina Mramba type ambao watawekeza mafungu yao ya migao kwenye safe investiments, kuepuka yaliyomkuta mzee wa vijisent, kuvirundika vyote pamoja, vikatuna na hadi kuonekana.

ATC ilipokuwa inachechemea, Mramba akiwa Waziri, aliipigia chapuo kwa PAA, zikavuja ana mguu ndani ya PAA.

Kwa kweli lazima tukubali, mafanikio yoyote ya wafanyabiashara wazawa, ni mafanikio ya taifa kwa ujumla, bila kujali mtaji kaupate, ni fedha safi au laa, au anafanya biashara halali au fisadi, at the end of the day, faida ataivest hapa hapa nyumbani kwa watoto wao na watoto wa watoto wao, hivyo nchi inaneemeka, japo pia gap ya wenye nacho na wasio nacho inazidi kuongezeka.
 
The man is really a success story, ila jinsi precission inavyotanuka kwa kasi ya ajabu kwa kununua ndege mpya kila mwezi, mind well ni kununua, na sio kukodisha!, volume ya bussiness ya ndege anayoifanya haiwezi kuhumili uwekezaji mkubwa hivyo. Kwa maneno mengine kuna mahali amepata mkopo mkubwa, na sio kutoka IFC wala Proparco, maana hawa wako trasparent wangesema.

Sasa kama PAA ndio hiyo inazidi kupaa kwa kasi hiyo, na huku mmiliki ndio huyo anazidi kufanya divesification, that means something more. Kuna uwezekano mkubwa japo front line anaonekana Shirima, backbone yake wanaweza kuwemo kina Mramba type ambao watawekeza mafungu yao ya migao kwenye safe investiments, kuepuka yaliyomkuta mzee wa vijisent, kuvirundika vyote pamoja, vikatuna na hadi kuonekana.

ATC ilipokuwa inachechemea, Mramba akiwa Waziri, aliipigia chapuo kwa PAA, zikavuja ana mguu ndani ya PAA.

Kwa kweli lazima tukubali, mafanikio yoyote ya wafanyabiashara wazawa, ni mafanikio ya taifa kwa ujumla, bila kujali mtaji kaupate, ni fedha safi au laa, au anafanya biashara halali au fisadi, at the end of the day, faida ataivest hapa hapa nyumbani kwa watoto wao na watoto wa watoto wao, hivyo nchi inaneemeka, japo pia gap ya wenye nacho na wasio nacho inazidi kuongezeka.
Akiba Commercial Bank imenunuliwa pia na Kenyan bank ila main shareholder alikuwa Ernest Massawe ila kuna uwezekano naye kuwa among the shareholders
 
Maiko shirima (wa tanzania)..precision airways (ya wa-kenya na maiko shirima)...I&M bank (ya wa-kenya)...CF Union bank (ya wa-nani?)...mnhhh..let me connect some few dots n i'll be back
Mkuu unapendeza sana na hizi positive thinking zako
nakusubiri utuduvye hapa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom