King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,590
- Thread starter
- #21
ni wewe kweli au ni mabo ya ulanzi??
Ulanzi tu...Baruti ashasepa!
ni wewe kweli au ni mabo ya ulanzi??
bado npo wadau mambo ya shule yamenibana kidogo ila soon ntarudi.. nawapenda sana fans wangu hasa wa SUPA MIX...
mmmmmmmhbado npo wadau mambo ya shule yamenibana kidogo ila soon ntarudi.. nawapenda sana fans wangu hasa wa SUPA MIX...
kama tv zinahama kutoka analog kwenda digital itashindikana radio presenters tena wenye miguu!
Zembwela akisoma magazeti alafu akutane na neno la english huwa anapiga pozi ndefu nakuvuta pumzi kisha ana mungunya maneno..