Ngoja niongee na maxence akuchomolee hicho kidude cha PM usiwe nacho tena.
Na nyie mibaba mwenzenu hataki jamani! Lol!
Heee!
Allien ulivyoifurumua hiyo misredi yake.
Ha ha ha!
Kuna watu waongo jamani, halafu wepesi kusahau.
Good job allien.
Mkuu; ngoja tumwelimishe kwanza. Of course asipobadilika, sheria ziko wazi na Segerea si mbali. Mods wapo.
Ataanza na ID mpya.
Respect.
Ngoja niongee na maxence akuchomolee hicho kidude cha PM usiwe nacho tena.
Na nyie mibaba mwenzenu hataki jamani! Lol!
Nime wa PM lakini wapi, then hata lugha ya ku appfroach hawana.
Not Enough mama, si ndio wewe uliyesema hakuna ustaarabu kwenye ngono? Mbona unalalamika tena mpenzi? Si ndio wewe uliyekuwa unamtamani mume wa mtu? Kwa nini sasa unawaona wabaya. Mi navyojua palipo na mzoga ndipo wanapokutanika tai.
Pole lakini nadhani wewe mwenyewe ndo chanzo cha matatizo yako!!
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.
Siungewajibu huko huko PM ukawajulisha kwamba hutaki??
Mkuu JP, siyo hiyo tu. Angalia na hizi:
1. Natafuta Mpenzi wa Kunioa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94722-natafuta-mpenzi-wa-kunioa.html
Sasa matangazo katoa yeye; then prospects wanaapply yeye analalamia. then:
2. Sikumwona Mr. siku ya Valentine: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/110958-sikumwona-mr-siku-ya-valentine-day.html
Cant believe anaye Mr. lakini bado anatafuta Mume wa Kumuoa na bado anatamani mume wa Mtu. Kisha hii ndo funga kazi:
3. Siwezi pitisha siku bila Mwanamume: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94073-siwezi-pitisha-siku-bila-mwanaume.html
Hivi nani wa kulaumiwa?
Maji hufuata mkondo.
Respect.
One page Mkuu.
Hebu mfano angalia huyu NOT ENOUGH anavyowachezea watu in black and white, halafu fanya analysis yako mwenyewe:
Then:
And finally:
Siungewajibu huko huko PM ukawajulisha kwamba hutaki??
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.
Mkuu sasa hapo plus unganisha hii thread ndio uone kwamba biashara matangazo........Huyu hamna kitu hapa!!!
He he he he he Nimeipenda hiyo LD na nimekugongea THANKS.
Mkuu JP, siyo hiyo tu. Angalia na hizi:
1. Natafuta Mpenzi wa Kunioa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94722-natafuta-mpenzi-wa-kunioa.html
Sasa matangazo katoa yeye; then prospects wanaapply yeye analalamia. then:
2. Sikumwona Mr. siku ya Valentine: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/110958-sikumwona-mr-siku-ya-valentine-day.html
Cant believe anaye Mr. lakini bado anatafuta Mume wa Kumuoa na bado anatamani mume wa Mtu. Kisha hii ndo funga kazi:
3. Siwezi pitisha siku bila Mwanamume: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94073-siwezi-pitisha-siku-bila-mwanaume.html
Hivi nani wa kulaumiwa?
Maji hufuata mkondo.
Respect.