Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
Leo humu ni balaa
Wanaume tumevamiwa
yaani wamepata pa kushika
Wala hamjavamiwa kipenzi ndio jinsi mlivyo haswaaaa wala hajakosea tena kuna mengi tu yameachwa mimi nikiongezea yana nikumbusha machungu tu.
Na nyie wanaume mnaojisifia kuwa mnapenda sana familia zenu ndio wakuogopwa mno,mnapenda kujitutumua mbele za watu wakati ni uongo mtupu!!!!