hahahahaaaa kama ya shwain hapo kushoto,du! sawa bana.Acha kudanganya watu bana tena wewe inaelekea unamadoa mwili mzima.
Mkuu sikilizia malalamiko ya kina mama walio wengi wenye ndoa zao,malalamiko yao ni haya haya pamoja na mengi ambayo sijayataja. Hapa nazungumzia uhalisia wa maisha yetu ya kila siku na kile kinachozungumziwa na kina mama wengi.
Kina baba tusiwe defensive,we are not all that perfect hata tulelewe vipi we shall still be humanbeings with all human frailties.
Daughter,nani una wish aingie hapa?
Chauro.....
au vipi? wamezidi kukuoneeni hawa. umeona walivyofura ka chatu la amazon?Shikamoo Bishanga!
Najisikia raha kusoma sred yako!
Namwomba mungu tanesco wasiukate ili nione mwisho wa hii vita!
Hapa hata wakizuga,msg sent and delivered!
nenda touch spa masaki ukapigwe masaji ya nguvu na wachina ,utajisikia safi kabisa.
Yani nataman baba yangu mtambuzi asome huu uwi nione atasemaje maana yy kakomaa na sie tu!au vipi? wamezidi kukuoneeni hawa. umeona walivyofura ka chatu la amazon?
halafu wanadai ho hizo ndo za Bishanga sisi watakatifu,subutu yao!
Weweeeeeeeeee! Safi sana bishanga. Sema unachotaka nikupe ila iwe vinywaji au vyakula tu. Lol.
ubarikiwe sana sana !