Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
huyo ex anakupenda bado...sasa inabidi ujisimamie kiutuuzima ili usimkwaze mwezio huyo unaetarajia kufunga nae ndoa! ni mashaka hayo , inabidi leo uongozane na mshenga wakati wa kurudi nyumbani!
Ahahahahhaha Jewels...mmmm ati aandamane na mshenga kabisa...duh leo najichekea tu!