Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
MJ kule kwenye facebook kule wacha kabisa. Kule wananchi wanaeka picha zao za ukweli kabisa. kule visa vya mapenzi kama cha Bujibuji mtu ndo anachukulia chance ya kukuharibia. Kule bwana kule ni kuchorana kishenzi mimi naonyesha niko hivi nimeumbwa hivi sijui nikismile niko hivi yani kule ni balaa.......................kule mtu anakuomba urafiki na picha yake ya ajabu ajabu inaonyesha maungo.................
Hebu nipe ID yako kwenye Facebook dada. Nataka niikompee na avatar yako nijue la kufanya!:fish2: