Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Taasisi ya Policy Forum imeandaa mjadala wa wazi kuzungumzia utendaji wa serikali ya Kikwete kwa kipindi cha 2006-2007.
Mtoa mada mkuu ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Prof. Haji Semboja.
Bado sijaelewa kwa nini haswa mjadala huu umejikita kwenye miaka miwili ya mwanzo wakati JK kesha kata minne anakwenda wa tano?!.
Endelea nami...
Mtoa mada mkuu ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Prof. Haji Semboja.
Bado sijaelewa kwa nini haswa mjadala huu umejikita kwenye miaka miwili ya mwanzo wakati JK kesha kata minne anakwenda wa tano?!.
Endelea nami...