Miaka mitatu ya JamiiForums

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
  • Kutoka JamboForums (August 2006) kwenda JamiiForums (April 200.
  • Inapata hits zaidi ya 30mil kwa mwezi (August zimefikia 42mil)
  • Imekuwa ranked kama site inayotembelewa zaidi na Graduates na Quantcast
  • Asilimia 67.2 ya wanaoitembelea kwa sasa ni kutoka Tanzania
  • Ina ofisi zake Jijini Dar ambazo zitazinduliwa rasmi mwezi huu (Septemba)
  • Ipo chini ya Jamii Media Inc (iliyosajiliwa Tanzania kama kampuni mwaka 200
  • Haijajitangaza, inajulikana kwa wengi kwa 'word of mouth'
  • Imekuwa listed katika World Big Boards mwaka 2008
  • Kwa wastani mtu hukaa muda wa dakika 16.1 kwa siku ndani ya JF
  • Ina radio yake (Jambo Radio) tangu 2003 yenye International License
  • Wafadhili wake ni wanachama wake na watanzania wachache wanaojitolea japo hawajajisajili bali wanasoma tu.
Una maoni juu ya nini kifanyike zaidi?

Yatakayofanyika kuanzia September:

  1. Kuanzisha Live Support Crew ambayo itakuwepo 24hrs ili kumsaidia yeyote mwenye uhitaji wa msaada wa haraka ndani ya JF
  2. Kuajiri moderators maalum watakaokuwa online 24hrs kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
  3. Kushirikiana na asasi mbalimbali zisizo za kiserikali na za kiserikali katika masuala yote muhimu katika ujenzi wa Taifa
  4. Kuanzisha zawadi maalum kwa watanzania watakaokuwa wanafanya vizuri katika nyanja mbalimbali hasa kisiasa na kiuchumi
  5. Kufuatilia kwa karibu kabisa habari zote zinazohusiana na Uchaguzi 2010 na 2015 ikiwa ni kwa maandishi na picha.
  6. Kutoa huduma ya "Hosting" kwa Tshs 15,000/= kwa mwezi kwa wote wenye kuhitaji huduma ya web hosting
  7. Kuanzisha gazeti huru la JF... Jina kapuni
Mengine tutafahamishana mbeleni
 
  • Kutoka JamboForums (August 2006) kwenda JamiiForums (April 200.
  • Inapata hits zaidi ya 30mil kwa mwezi (August zimefikia 42mil)
  • Imekuwa ranked kama site inayotembelewa zaidi na Graduates na Quantcast
  • Asilimia 67.2 ya wanaoitembelea kwa sasa ni kutoka Tanzania
  • Ina ofisi zake Jijini Dar ambazo zitazinduliwa rasmi mwezi huu (Septemba)
  • Ipo chini ya Jamii Media Inc (iliyosajiliwa Tanzania kama kampuni mwaka 200
  • Haijajitangaza, inajulikana kwa wengi kwa 'word of mouth'
  • Imekuwa listed katika World Big Boards mwaka 2008
  • Ina radio yake (Jambo Radio) tangu 2003 yenye International License
  • Wafadhili wake ni wanachama wake na watanzania wachache wanaojitolea japo hawajajisajili bali wanasoma tu.
Una maoni juu ya nini kifanyike zaidi?

Yatakayofanyika kuanzia September:

  1. Kuanzisha Live Support Crew ambayo itakuwepo 24hrs ili kumsaidia yeyote mwenye uhitaji wa msaada wa haraka ndani ya JF
  2. Kuajiri moderators maalum watakaokuwa online 24hrs kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
  3. Kushirikiana na asasi mbalimbali zisizo za kiserikali na za kiserikali katika masuala yote muhimu katika ujenzi wa Taifa
  4. Kuanzisha zawadi maalum kwa watanzania watakaokuwa wanafanya vizuri katika nyanja mbalimbali hasa kisiasa na kiuchumi
  5. Kufuatilia kwa karibu kabisa habari zote zinazohusiana na Uchaguzi 2010 na 2015 ikiwa ni kwa maandishi na picha.
  6. Kutoa huduma ya "Hosting" kwa Tshs 15,000/= kwa mwezi kwa wote wenye kuhitaji huduma ya web hosting
  7. Kuanzisha gazeti huru la JF... Jina kapuni
Mengine tutafahamishana mbeleni

I'm happy to belong to the class of 2006. Tumetoka mbali na tunakoelekea hatujafika bado lakini tutafika tu. Super big ups to all of you who make this thing happen.
 
Just be happy to be in the number.

Good work WAKULU WOTE WA JF. God will reward you for the hard and good work you guys are doing each and every days.



 
Proudly a member of a new generation---a class of Jamii forums!.. missed the jambo forums as i was still an infant.

JF is more than a forum, its a school, its a voice, its a leisure, its a family, its a boombastic!!!

Sometimes our partners hate it... because it is addictive, weak politicians fear it... because it is true and honest; bad guys hate it because it is digs deeper than deep!!!

.......... But most of all, ITS A MIRROR!!! You just see yourself and gauge right where you belong!!! every feedback here counts!!!

With a few daring members, JF is like a religion!!!

I AM BLESSED TO HAVE ACCESS TO THIS FORUM
 
Yatakayofanyika kuanzia September:

  1. Kuanzisha Live Support Crew ambayo itakuwepo 24hrs ili kumsaidia yeyote mwenye uhitaji wa msaada wa haraka ndani ya JF
  2. Kuajiri moderators maalum watakaokuwa online 24hrs kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
  3. Kushirikiana na asasi mbalimbali zisizo za kiserikali na za kiserikali katika masuala yote muhimu katika ujenzi wa Taifa
  4. Kuanzisha zawadi maalum kwa watanzania watakaokuwa wanafanya vizuri katika nyanja mbalimbali hasa kisiasa na kiuchumi na Kijamii
  5. Kufuatilia kwa karibu kabisa habari zote zinazohusiana na Uchaguzi 2010 na 2015 ikiwa ni kwa maandishi na picha.
  6. Kutoa huduma ya "Hosting" kwa Tshs 15,000/= kwa mwezi kwa wote wenye kuhitaji huduma ya web hosting
  7. Kuanzisha gazeti huru la JF... Jina kapuni
Mengine tutafahamishana mbeleni
.... Fungua njiaaa mtoto kaanza tambaa!

Hongera JF kwa kufikisha miaka mitatu...!
 
Mafundi mitambo natoa mkono wa hongera!. Kusema ukweli wakati inaanza nilikuwa kidogo nina wasiwasi kuwa je itadumu? Kwani nilishaumwa na nyoka miaka ya awali katika forum nyinginezo (zilizokufa), yaani nilikuwa napata "addiction" ya hizo forum halafu zinajifia! Matokea nabaki naugua peke yangu na kumtesa mama watoto ambaye alikuwa anabaki kuniuguza na kunitafutia dawa ya kuniondolea addiction ya hizo forum!

Welldone guys,
 
I'm happy to belong to the class of 2006. Tumetoka mbali na tunakoelekea hatujafika bado lakini tutafika tu. Super big ups to all of you who make this thing happen.

Nyani nimegundua kumbe tu kundi moja la vizee vya JF":confused:. Ama tusema ndo vingunge wa JF?
 
Kuanzisha zawadi maalum kwa watanzania watakaokuwa wanafanya vizuri katika nyanja mbalimbali hasa kisiasa na kiuchumiMengine tutafahamishana mbeleni

Sijaelewa zawadi gani unazopanga kutoa hapo, mheshimiwa KIONGOZI. Lakini mi nashauri tungejaribu kusubstitute hizo zawadi kwa wanasiasa (kama ni monetary) zidhamini wanafunzi walau hawa wa sekondari walofanya vyema na kukosa ufadhili kwa namna moja au nyingine.

Wanasiasa wanazo tuzo zao tayari..kwa kuvuna wasipopanda.
 
Mungu akuzidishie Jamii forums founder Maxence Melo kwa kupewa hekima za ajabu na muumba kuanzisha kitu kama hiki.
Moderators wote hongereni kwa kazi nzuri mnayofanya,maana kwa namna moja au nyingine nyie ndio mnahakikisha kila kitu kipo sawa.
 
  • Kutoka JamboForums (August 2006) kwenda JamiiForums (April 200.
  • Inapata hits zaidi ya 30mil kwa mwezi (August zimefikia 42mil)
  • Imekuwa ranked kama site inayotembelewa zaidi na Graduates na Quantcast
  • Asilimia 67.2 ya wanaoitembelea kwa sasa ni kutoka Tanzania
  • Ina ofisi zake Jijini Dar ambazo zitazinduliwa rasmi mwezi huu (Septemba)
  • Ipo chini ya Jamii Media Inc (iliyosajiliwa Tanzania kama kampuni mwaka 200
  • Haijajitangaza, inajulikana kwa wengi kwa 'word of mouth'
  • Imekuwa listed katika World Big Boards mwaka 2008
  • Kwa wastani mtu hukaa muda wa dakika 16.1 kwa siku ndani ya JF
  • Ina radio yake (Jambo Radio) tangu 2003 yenye International License
  • Wafadhili wake ni wanachama wake na watanzania wachache wanaojitolea japo hawajajisajili bali wanasoma tu.
Una maoni juu ya nini kifanyike zaidi?

Yatakayofanyika kuanzia September:

  1. Kuanzisha Live Support Crew ambayo itakuwepo 24hrs ili kumsaidia yeyote mwenye uhitaji wa msaada wa haraka ndani ya JF
  2. Kuajiri moderators maalum watakaokuwa online 24hrs kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
  3. Kushirikiana na asasi mbalimbali zisizo za kiserikali na za kiserikali katika masuala yote muhimu katika ujenzi wa Taifa
  4. Kuanzisha zawadi maalum kwa watanzania watakaokuwa wanafanya vizuri katika nyanja mbalimbali hasa kisiasa na kiuchumi
  5. Kufuatilia kwa karibu kabisa habari zote zinazohusiana na Uchaguzi 2010 na 2015 ikiwa ni kwa maandishi na picha.
  6. Kutoa huduma ya "Hosting" kwa Tshs 15,000/= kwa mwezi kwa wote wenye kuhitaji huduma ya web hosting
  7. Kuanzisha gazeti huru la JF... Jina kapuni
Mengine tutafahamishana mbeleni

Its a blessing to be a member of this huge beautiful family!
 
Job well done.........! Let's join our hands (morally & materially) for better and strong JF in the future!
 
Hongereni sana waanzilishi wa hii Forum,nakumbuka nilikua nasoma tu hapo mwanzo ilipokuwa jambo,pia nawapa hongera wakina NyaniNgabu na wengine pia wale ambao ni members tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2006,bila kumsahau alienishawishi kujiunga na forum hii ambae ni Crashwise.
Long Live Jf
 
Kuanzisha zawadi maalum kwa watanzania watakaokuwa wanafanya vizuri katika nyanja mbalimbali hasa kisiasa na kiuchumi

Mkuu Invisible mbona umesahau wengine hatupo huko tupo kwenye maswala ya dini,michezo, mapenzi n.k je hatupaswi kuzawadiwa? Wengine tunaonekana hatupo lakini tupo fit kwenye maswala hayo.
 
Mungu akuzidishie Jamii forums founder Maxence Melo kwa kupewa hekima za ajabu na muumba kuanzisha kitu kama hiki.
Moderators wote hongereni kwa kazi nzuri mnayofanya,maana kwa namna moja au nyingine nyie ndio mnahakikisha kila kitu kipo sawa.

Shukrani kwa hongera zako lakini mama jitahidi kujipiga piga japo uchangie JF inaendeshwa kwa michango kutoa ni moyo na si utajiri jitutumue mama ili twendelee kuenjoy.
 
Back
Top Bottom