BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
hongeraaaaaaaaa
Asante sana Mkuu!Hongera sana mkuu, ukigonga nyundo nyengine 4 tunaandamana upewe umod.
Asante sana. Unaonaje badala ya kuchagua zawadi nikachagua ombi?Chagua zawadi
Asante sana Mkuu! Mbona bado siku 46 tu kufikia huko?Poa mtu mzima, tuombeane na sisi aisee!
Tukutane kule kwenye uwanja wetu nikupe zawadi moja matata!
Asante sana Mkuu!Dah, kweli tumetoka mbali.
Toka enzi zile Jei Efu inajulikana kama Jambo Forums..
Enzi zile tukitumia salutation ya "Mkuu heshima mbele" kabla ya kuchangia mada...
Enzi zile BAK anajiita Bubu Ataka Kusema..
Enzi zile Saint Ivuga anajiita Nyani Abiziani..
Kudos to Invisible, Max Melo, MM, pamoja na washika dau wote waliofanikisha Jei Efu kufikia hapa ilipo..