Kaka Rocky jibu ako hili hapa!
Mkuu hiyo nimeiona ila sasa ile kusema wako sawa na yeye hapo ndio nikaona utata mkuu
Au nimeachwa sehemu ndo maana sielewi
KWANINI YEYEY NA MUMEWE WASIENDE hOSPITALI KUJUA KA WOTE WANA UWEZO WA KUZAA AMA laa!!!!akamwombe mnyarwanda msamaha
na stres pia inachangia.......lakini imejionyesha wazi kuwa kakanyaga mavi. maana jamaa keshazaa (I mean zalisha) nje!
Pole Edson, naamini mungu alishayaponya majeraha yako!
... ata mademu zangu.
... wakati nawe uko kama wao
Mkuu mbona hiyo statement ina utata
I believe in this below quotes
Malipo hapa hapa duniani, ahera kwenda hisabu
Mungu analipa hapa duniani but his own time.
yani kabisa unalipwa hapa hapa duniani.I believe in this below quotes
Malipo hapa hapa duniani, ahera kwenda hisabu
Mungu analipa hapa duniani but his own time.