Miaka hamsini ya uhuru pschiatric unit zetu hazina Lithium Carbonate

Kelvin X

JF-Expert Member
Jun 28, 2011
1,927
2,366
Ndugu zangu baada ya utafiti nilioufanya nimesikitika kwamba kuna tatizo la msingi kwenye system yetu ya afya; nimegundua dawa muhimu sana kwa wagonjwa wa akili specificaly wale wenye affective disorder (mania), wanaishia kuwa vichaa kabisa kutokana na kukoa dose ya Lithium carbonate ambayo ni very effective kwa huu ugonjwa....

Wenzetu Kenya na Uganda wanazo toka siku nyingi. Wizara tafathali jitahidini wagonjwa wetu waweze pata hii dawa hapa nchini kwa bei rahisi, mtoto wangu anaugua toka mwaka juzi na uwezo wakufuata dawa Nairobi kila mwezi sina.
 
Ndugu zangu baada ya utafiti nilioufanya nimesikitika kwamba kuna tatizo la msingi kwenye system yetu ya afya; nimegundua dawa muhimu sana kwa wagonjwa wa akili specificaly wale wenye affective disorder (mania), wanaishia kuwa vichaa kabisa kutokana na kukoa dose ya Lithium carbonate ambayo ni very effective kwa huu ugonjwa....wenzetu kenya na uganda wanazo toka siku nyingi. wizara tafathali jitahidini wagonjwa wetu waweze pata hii dawa hapa nchini kwa bei rahisi, mtoto wangu anaugua toka mwaka juzi na uwezo wakufuata dawa nairobi kila mwezi sina.


pole mkuu!! katika suala zima la afya ! hapa siwezi kuitetea serikali yangu...
 
Dah pole sana kelvin x! Na bado kwenye upande wa magonjwa ya sikio sasa! Wataalamu Tanzania nzima hawafiki 10.Na kati yao hao 10,3 wamestaafu! Msongamano ni mkubwa Muhimbili. Pale serikali imepaequip na vifaa vyote..tena very sophisticated. Lakini kweli itakuwa huduma bora, au bora huduma..?!
 
asante mkuu natumai kuna watu wa wizara wanapita humu pengine wataona na kuchukua hatua
 
ni kweli trachoma. najua hii dawa inaitaji monitoring coz therapeutic window yake ni ndogo ila jamani hata pale mirembe a consultant pschiatric hosp washindwe monitoring? sithani, i think ni luck of committment na choices
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom