mtemiwaWandamba
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 561
- 223
Kwanza kabisa Viongozi wa kijadi na kieneo walioongoza mapambano
dhidi ya Wakoloni;
Kinjeketile Ngwale, Watemi Chabruma, Songea, Mirambo,Isike ,Mkwawa, Kimweri
Mbega, Sina Meli Mandara, Abushiri Bin Salim,Kingo.Rumanyika Kingalu, Kiwanga...........
Pili Wanaharakati wa mapambano kupitia Vyama vya Siasa;
1)TAA: Abdulwahid Sykes,Jumbe Tambaza,Vedastus Kyaruzi, Mzee Mtemvu,Shekhe Ramia...........
2)TANU:Abdul Wahid sykes,Ally Sykes ,John Rupia ,Julius K Nyerere, Joseph Kimalando,
Abubakari Iranga, C O Milinga, Tewa S Tewa, Patrick Kunambi,Dosa Aziz Ally,Rashid M Kawawa,
Bibi Titi Mohamed,..............
Ongezea orodha unaowafahamu Makamanda waliokuwa msitari wa mbele
katika harakati za kudai Uhuru wa Tanganyika.......
Mapambano bado yanaendelea
dhidi ya Wakoloni;
Kinjeketile Ngwale, Watemi Chabruma, Songea, Mirambo,Isike ,Mkwawa, Kimweri
Mbega, Sina Meli Mandara, Abushiri Bin Salim,Kingo.Rumanyika Kingalu, Kiwanga...........
Pili Wanaharakati wa mapambano kupitia Vyama vya Siasa;
1)TAA: Abdulwahid Sykes,Jumbe Tambaza,Vedastus Kyaruzi, Mzee Mtemvu,Shekhe Ramia...........
2)TANU:Abdul Wahid sykes,Ally Sykes ,John Rupia ,Julius K Nyerere, Joseph Kimalando,
Abubakari Iranga, C O Milinga, Tewa S Tewa, Patrick Kunambi,Dosa Aziz Ally,Rashid M Kawawa,
Bibi Titi Mohamed,..............
Ongezea orodha unaowafahamu Makamanda waliokuwa msitari wa mbele
katika harakati za kudai Uhuru wa Tanganyika.......
Mapambano bado yanaendelea