Waungwana nisaidieani mwenzenu sielewi kabisaaaaaa.... Hivi kutafuta vazi la taifa la Tz mwaka 2012 si sababu tosha ya kuwaburuza mahakamani mawaziri wote waliopita waliopewa dhamana ya utamaduni? kwa nini hatukutafuta vazi la taifa miaka ya 60 huko?.. kama zipo sababu za msingi nisaidieani pliz... aaah sisi bwana...