Elections 2010 Miaka 50 ya uhuru na umaskini.... Watanzania tuwatoe hawa wakoloni weusi jamani

futikamba

JF-Expert Member
Jan 18, 2010
243
13
Habari za jioni wakuu
Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia pitia thread katika jukwaa hili na kwa kusema ukweli, mengi yasemwayo yanaumiza saaana.

Yapata miaka 50 sasa tokea tupate uhuru. Serikali yetu inahangaika kuandaa sherehe kwa mabilioni ya pesa, kutetea posho na wao kujipendelea ktk kila sekta hali watanzania walio wengi wanaishi kwa kipato chini ya $1. Hali ni mbaya sana. Nawashangaa kweli hawa viongozi wetu.

Juzi nimeangalia taarifa ya habari hapo ITV walionyeshwa wamama na watoto wadogo wakiokota mabaki ya chakula na mkaa jalalani ili kuweza kukidhi njaa zao. Jamani!! tena ni dodoma ambako muheshimiwa waziri mkuu wetu alisema kwamba posho zinawasaidia omba omba nje ya bunge. Inauma sana asee... Huo ni moja tu ya mifano miiingi sana ambayo ukifikiria, inasikitisha sana.

Natoa wito sasa kwa watanzania kusema BAAASI. Uvumilivu na utushinde sasa, utu wa viongozi wetu umegeuka wa kinyama sana. Hata sijui hawana ile "guilty conciousness" kwenye nafsi zao??? Wakati wao wakiendelea kwa ari, nguvu na kasi zaidi kuandaa hilo lisheree lao la miaka 50 ya uhuru na umaskini na sisi tujipange kufanya maandamano ya amani nchi nzima kuwakosoa katika kila idara. YES WE CAN. Nani sasa atatuondoa katika dimbwi hili la umaskini wa kutupwa kama sio sisi wenyewe? Huu sasa si uvumilivu bali ni upumbavu (samahani kwa neno hilo, kama muelewa utaelewa tu maana yangu). Tujikomboe jamani....


FK
 
Habari za jioni wakuu
Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia pitia thread katika jukwaa hili na kwa kusema ukweli, mengi yasemwayo yanaumiza saaana.

Yapata miaka 50 sasa tokea tupate uhuru. Serikali yetu inahangaika kuandaa sherehe kwa mabilioni ya pesa, kutetea posho na wao kujipendelea ktk kila sekta hali watanzania walio wengi wanaishi kwa kipato chini ya $1. Hali ni mbaya sana. Nawashangaa kweli hawa viongozi wetu.

Juzi nimeangalia taarifa ya habari hapo ITV walionyeshwa wamama na watoto wadogo wakiokota mabaki ya chakula na mkaa jalalani ili kuweza kukidhi njaa zao. Jamani!! tena ni dodoma ambako muheshimiwa waziri mkuu wetu alisema kwamba posho zinawasaidia omba omba nje ya bunge. Inauma sana asee... Huo ni moja tu ya mifano miiingi sana ambayo ukifikiria, inasikitisha sana.

Natoa wito sasa kwa watanzania kusema BAAASI. Uvumilivu na utushinde sasa, utu wa viongozi wetu umegeuka wa kinyama sana. Hata sijui hawana ile "guilty conciousness" kwenye nafsi zao??? Wakati wao wakiendelea kwa ari, nguvu na kasi zaidi kuandaa hilo lisheree lao la miaka 50 ya uhuru na umaskini na sisi tujipange kufanya maandamano ya amani nchi nzima kuwakosoa katika kila idara. YES WE CAN. Nani sasa atatuondoa katika dimbwi hili la umaskini wa kutupwa kama sio sisi wenyewe? Huu sasa si uvumilivu bali ni upumbavu (samahani kwa neno hilo, kama muelewa utaelewa tu maana yangu). Tujikomboe jamani....


FK


Usisahau na mzigo wa kuibeba Zanzibar.
 
Hao nao naona tuwaachie tu wajiendee zao kwani wao nd'o wata-loose zaidi, sio sisi.
"Mtoto akililia wembe........................................................."
 
Tanzania ndio basi tena. The way mambo yanavyoendeshwa na inchi inakoelekea, tumeshafikia point ya kuwa one of the Never to Develop Countries
 
Habari za jioni wakuu
Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia pitia thread katika jukwaa hili na kwa kusema ukweli, mengi yasemwayo yanaumiza saaana.

Yapata miaka 50 sasa tokea tupate uhuru. Serikali yetu inahangaika kuandaa sherehe kwa mabilioni ya pesa, kutetea posho na wao kujipendelea ktk kila sekta hali watanzania walio wengi wanaishi kwa kipato chini ya $1.
Hali ni mbaya sana. Nawashangaa kweli hawa viongozi wetu.




FK

Kamsome tena George Orwell katika kitabu chake cha ANIMAL FARM...hautashangaa tena kwa yanayotokea TZ!


Fungua hii:
http://www.george-orwell.org/Animal_Farm/index.html
 
user-offline.png
futikamba

Yesterday 08:23 PM
#1
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 18th January 2010
Posts : 178

Rep Power : 22



[h=2]
icon1.png
Miaka 50 ya uhuru na umaskini.... Watanzania tuwatoe hawa wakoloni weusi jamani[/h]
Habari za jioni wakuu
Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia pitia thread katika jukwaa hili na kwa kusema ukweli, mengi yasemwayo yanaumiza saaana.

Yapata miaka 50 sasa tokea tupate uhuru. Serikali yetu inahangaika kuandaa sherehe kwa mabilioni ya pesa, kutetea posho na wao kujipendelea ktk kila sekta hali watanzania walio wengi wanaishi kwa kipato chini ya $1. Hali ni mbaya sana. Nawashangaa kweli hawa viongozi wetu.

Juzi nimeangalia taarifa ya habari hapo ITV walionyeshwa wamama na watoto wadogo wakiokota mabaki ya chakula na mkaa jalalani ili kuweza kukidhi njaa zao. Jamani!! tena ni dodoma ambako muheshimiwa waziri mkuu wetu alisema kwamba posho zinawasaidia omba omba nje ya bunge. Inauma sana asee... Huo ni moja tu ya mifano miiingi sana ambayo ukifikiria, inasikitisha sana.

Natoa wito sasa kwa watanzania kusema BAAASI. Uvumilivu na utushinde sasa, utu wa viongozi wetu umegeuka wa kinyama sana. Hata sijui hawana ile "guilty conciousness" kwenye nafsi zao??? Wakati wao wakiendelea kwa ari, nguvu na kasi zaidi kuandaa hilo lisheree lao la miaka 50 ya uhuru na umaskini na sisi tujipange kufanya maandamano ya amani nchi nzima kuwakosoa katika kila idara. YES WE CAN. Nani sasa atatuondoa katika dimbwi hili la umaskini wa kutupwa kama sio sisi wenyewe? Huu sasa si uvumilivu bali ni upumbavu (samahani kwa neno hilo, kama muelewa utaelewa tu maana yangu). Tujikomboe jamani....


FK​



Life is full of suprises....

progress.gif
Reply Reply With Quote


user-offline.png
Makaimati

Yesterday 09:04 PM
#2
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 4th April 2011
Posts : 441

Rep Power : 22



[h=2]
icon1.png
Re: Miaka 50 ya uhuru na umaskini.... Watanzania tuwatoe hawa wakoloni weusi jamani[/h]

quote_icon.png
By futikamba
Habari za jioni wakuu
Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia pitia thread katika jukwaa hili na kwa kusema ukweli, mengi yasemwayo yanaumiza saaana.

Yapata miaka 50 sasa tokea tupate uhuru. Serikali yetu inahangaika kuandaa sherehe kwa mabilioni ya pesa, kutetea posho na wao kujipendelea ktk kila sekta hali watanzania walio wengi wanaishi kwa kipato chini ya $1. Hali ni mbaya sana. Nawashangaa kweli hawa viongozi wetu.

Juzi nimeangalia taarifa ya habari hapo ITV walionyeshwa wamama na watoto wadogo wakiokota mabaki ya chakula na mkaa jalalani ili kuweza kukidhi njaa zao. Jamani!! tena ni dodoma ambako muheshimiwa waziri mkuu wetu alisema kwamba posho zinawasaidia omba omba nje ya bunge. Inauma sana asee... Huo ni moja tu ya mifano miiingi sana ambayo ukifikiria, inasikitisha sana.

Natoa wito sasa kwa watanzania kusema BAAASI. Uvumilivu na utushinde sasa, utu wa viongozi wetu umegeuka wa kinyama sana. Hata sijui hawana ile "guilty conciousness" kwenye nafsi zao??? Wakati wao wakiendelea kwa ari, nguvu na kasi zaidi kuandaa hilo lisheree lao la miaka 50 ya uhuru na umaskini na sisi tujipange kufanya maandamano ya amani nchi nzima kuwakosoa katika kila idara. YES WE CAN. Nani sasa atatuondoa katika dimbwi hili la umaskini wa kutupwa kama sio sisi wenyewe? Huu sasa si uvumilivu bali ni upumbavu (samahani kwa neno hilo, kama muelewa utaelewa tu maana yangu). Tujikomboe jamani....


seo4.jpg
seo3.jpg

song.jpg
signature.jpg

baby2.jpg




FK




Usisahau na mzigo wa kuibeba Zanzibar.​
 
Back
Top Bottom