Miaka 50 ya uhuru na giza lililo mbele yetu

mataka

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
286
61
Habarini wanajukwaa, hivi watanzania tulio wengi sherehe za kesho zinatuhusu? Me nachojua kauli mbiu yao inawahusu wao? Mafanikio gani mwananchi wa kawaida ameyapata mpaka ajivunie miaka 50 ya uhuru? Ikiwa leo nimeenda hospitali ya wilaya dr kaja saa5,nauliza mtaalam wa mifupa wanasema hawana, sasa sijui majeruhi hali inakuwaje! Kwenda kwenye dirisha la dawa kila dawa hamna, mimi mwenyewe nilikosa dawa,kilichoniuma zaidi eti hata dicloènaki hakuna,yani karibia wote tulioandikiwa dawa mbalimbali tumekosa? If that is the case miaka hamsini mimi ya nini? Kama huduma zote za kijamii ni mbaya? Si afadhali tungechelewa kupata uhuru kama namibia? Watanzania wenzangu uwanja wa uhuru ijumaa si mahala petu?waache wenyewe wakasherehekee jinsi walivyovimbisha matumbo yao miaka 50.
 
Habarini wanajukwaa, hivi watanzania tulio wengi sherehe za kesho zinatuhusu? Me nachojua kauli mbiu yao inawahusu wao? Mafanikio gani mwananchi wa kawaida ameyapata mpaka ajivunie miaka 50 ya uhuru? Ikiwa leo nimeenda hospitali ya wilaya dr kaja saa5,nauliza mtaalam wa mifupa wanasema hawana, sasa sijui majeruhi hali inakuwaje! Kwenda kwenye dirisha la dawa kila dawa hamna, mimi mwenyewe nilikosa dawa,kilichoniuma zaidi eti hata dicloènaki hakuna,yani karibia wote tulioandikiwa dawa mbalimbali tumekosa? If that is the case miaka hamsini mimi ya nini? Kama huduma zote za kijamii ni mbaya? Si afadhali tungechelewa kupata uhuru kama namibia? Watanzania wenzangu uwanja wa uhuru ijumaa si mahala petu?waache wenyewe wakasherehekee jinsi walivyovimbisha matumbo yao miaka 50.

Mkuu naomba uipotezee tu maana itakupa msongo wa mawazo bure
 
Back
Top Bottom