kama unaujua mziki,tena si unafiki, huwez kusheherekea miaka 50,bila kumtaja nguli wa music hip hop tz mheshimiwa joseph mbilinyi,kwani alifanya kazi ya ziada na hata kuu utangaza muzik ndan ya bongo na nje ya bongo,so sion sababu ya kumpa shavu bushoke! Sawa hawa wanuka miguu wanatakiwa kujua mzik na historia,na si unafik wanaoufanya! Am out guyz