zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Mada ipo hapo juu..Mgeni Mwalikwa ni Mukama.
Mukama anasema CCM ina wanachama mil 6.2,
Wajumbe Wa Nec sasa hivi 40% ni wafanyakazi
40% ni wafanya biashara wadogo wadogo.
Kuhusu Rushwa:Hajaona mwanachama wala mgombea alielalamika kuhusu Rushwa..
Kipindi Hamza hour kasongo
Chanel Ten.
Mukama anasema CCM ina wanachama mil 6.2,
Wajumbe Wa Nec sasa hivi 40% ni wafanyakazi
40% ni wafanya biashara wadogo wadogo.
Kuhusu Rushwa:Hajaona mwanachama wala mgombea alielalamika kuhusu Rushwa..
Kipindi Hamza hour kasongo
Chanel Ten.