Deus Shayo
New Member
- May 9, 2010
- 4
- 0
Tunaadhimisha miaka 10 ya uhuru 9 Des., 2011. Sherehe hizi ni hadi Zanzibar?
Jana kuna mwenzangu alisoma kwenye chupa ya bia ya Kili akauliza ' mbona hapajaandikwa ni uhuru wa nchi gani?' mwingine akasema, 'Naona liliwakanganya TBL.
Jana kuna mwenzangu alisoma kwenye chupa ya bia ya Kili akauliza ' mbona hapajaandikwa ni uhuru wa nchi gani?' mwingine akasema, 'Naona liliwakanganya TBL.