Miaka 10 sasa iliku athiri vipi, ulikuwa wapi, unafanya nini..... (September 11)

Hii attack ndio ilinibadilishia utaratibu wangu kabisa....nilikuwa kwenye process ya kupata visa ya kwenda US Jan 2002...Ikakataliwa na kuwekwa masharti magumu ya kupata....ndio nilipo amua kubaki tanzania yetu na sasa sijui leo ningekuwa wapi lakii....mpaka sasa nashukuru kwa yote.
 
Mawazo yangu ni tofauti kidogo na public opinion. Iwe wazi sishangilii vifo vya watu. Ila hili shambulizi lilikuzwa mno na vyombo vya habari na kulifanya lionekane kama shambulio baya kuliko yote yaliyowahi kutokea, bila kujali ni mashambulio mangapi na vita ngapi amepigana Marekani kwenye ardhi zza nje (sio nchini kwake). Na taaluma zote za zana za kivita alizozitengeneza kwa ajili ya kuua binadamu ... eti intelligent misiles nk. zingekuwa za kuwakamata wahalifu ningekubaliana nazo... Sasa kwamba kiranja wa dunia ameguswa nyumbani kwake ndo dunia nzima ilie. Vita ni vita.
My take, the attack was proportional. Taaluma zote alizo nazo mmarekani angeweza kulizuia mapema shambulizi hili. Ni tofauti kabisa na eye anapoenda kushambulia na kukalia kabisa hata vinchi vidigovidogo visivyo na uwezo wa kujibu mashambulizi.
Waliokufa Mungu awarehemu. Ila shambulizi la vile naliita la kivita; vita haina macho. Kama kile anachokifanya marekani kwingineko sio uonevu, basi naye hakuonewa.
 
nakumbuka siku hiyo nilikuwa naangalia itv, walikuwa wamejiunga na bbc saa 10, mara news just in...........at first kulikuwa na confusion on actually what was going on, nika sense hii habari kubwa na si kawaida nikakimbilia chumbani kumuita baba aje kuangalia............oh kila nikikumbuka tukio hili namkumbuka baba, it has been 10 years arleady, RIP Dad na wote waliokatishiwa uhai siku hii.
 
Back
Top Bottom