so una mpango gani jioni hii na wifi yangu, wachana na macharali na kitimoto, hebu fanya fanya mambo kukamilisha raha yake, c unajua tena, leo pitia dukani nunua kazawai katamu, mpe mtoko kdogo, khaaa wewe unasheherekea miaka 10, frnd wangu jana ananical ananiambia anaandaa dinner ya mwaka mmoja wa ndoa...bac cku zinasonga.
Kutoka tena? Mi nilidhani unamwambia awahi nyumbani saa 12 ili aepuke vishawishi na kutekeleza vema majukumu pale home kwake...