Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Hehehehe! nilijaribu siku moja kukaa nyumbani baada ya kutoka kazini. Nyumba nzima watu walikuwa mabubu. watoto wanataka kuangalia katuni, mi niko bize na CNN. mpaka mama yao aliponiambia LEO HUTOKI?
Hahahahahahahaha.....! Mbavu zangu zinavunjika mkuu! Hata LOWASA alisalimika kiasi fulani pale alipopewa nafasi ya kwanza na bila kukosea, alitumia nafasi hiyo kukimbia jukwaa na kujiuzulu...! Ungejaribu kufanya hiyo kama tabia yako ungekiona cha moto, na leo usingekua na ujeuri wa kuyasema haya...!