The Great Rambo
New Member
- Apr 20, 2011
- 2
- 0
Hivi hawa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu huwa wanazingatia vigezo vya wanaotakiwa kupata loan (mkopo) au vipi? Mbona failures wengi tu wana mkopo wakati wenye two zao wamechakachuliwa! Mi nakosa wa kumlaumu kabisa,ni Bodi au Serikali?