Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,401
- 92,741
Unamkumbuka Akuku Danger?Fafanua kidogo hapo kwenye red mkuu. Sijakuelewa.
Unamkumbuka Akuku Danger?Fafanua kidogo hapo kwenye red mkuu. Sijakuelewa.
Sasa hivi naangalia Bar code..........lol!Kama una vimeo vingi embu acha kununua vitu vya mchina!!!Next time tafuta vitu orijino uone rah yake!!!
Kazi kwa bibi ipo sana atleast umegundua suala la ubinadamu hapo, maji yakimwagika mchangani hayazoleki, hakuna cha kukumbushia hapoKwani wewe ndo binadamu pekee anayewza kumsaidia???
Huo ndo mwanzo wa kukumbushana mapito ya kale...kalaghabaho!
Tatizo nao google wanaruhus mtu yeyote
na hio itakua wikipedia tu! lol... hata hivo naona
kidogo anaelekea...
ha ha ha.... Exactly.... thou babies tushamaliza....lol
BTW nimependa your first post in the thread...
Hakuna hata aliyelazimisha urafiki ndio maana hujapangiwa marafiki na mtu ni wewe tu na moyo wako, u make ur own choices na wengine wana make their choices, wewe kama unakerwa na moyo wako unauma sana pole but still hakuna tatizo mtu akiamua kuwa rafiki wa Ex wakeKwa nini mnapenda kulazimishia watu marafiki? yaani uporoto 01 ameishiwa marafiki mpaka lazima na urafiki na huyo mwanamke? humu inaonekana wengine bado wadogo haya mambo yanakera na yanauma kuliko unavyoweza kuamini, maana mtu unaweza ukawa umejitoa muhanga na kudevort ur time kwa ajili mapenzi na huenda hata ndugu zako wengine mlikosana kwa ajili ya mapenzi then demu anakuzinguwa eti baadae unasema tuwe marafiki?
Naona mnaleta mzaha wa makusudi.
Actually it was never for sale lol!I don't buy this story.
Ndio maana naona una blush kwa Kaizer mpaka kwenye maandishi.
Oh! so hivi ndio ilivyokuwa, atleast umeweka bayana kile kilichotokea ili wachangiaji wawe na uwanja mpana zaidibadly,kisa chenyewe kilikuwa hivi kuna mzee wa kihindi alikuwa boss wake akawaita wafanyakazi wake(sita) na kuwaambia yeye anafunga ofisi na kuhamia Canada,na kwakuwa wamemfanyia kazi nzuri atawakopesha kila mmoja milioni 20 za kufanyia biashara ambazo anataka warudishe baada ya miaka mitano bila riba yoyote. Sasa bibie akaingia tamaa akaona anaweza kupata zaidi kama atamliwaza mzee wa watu na labda hata kusamehewa kulipa hiyo mil 20.
Akaniacha na kuanza kumfukuzia mzee wa watu lakini mzee akamtolea nje kwamba hahitaji mpenzi ana mke na watoto anachotaka wafanyakazi waendelee na kurudisha mkopo KWISHA KAZI.Baada ya muda akataka kurudi nikamtolea nje na sasa baada ya muda ndio anataka tuwe marafiki. Kibiashara kaendelea kidogo ana gari na vi-boutique viwili na anajenga nyumba yake kwa sasa.
Unajuwa Mkuu kwa sisi tuliosoma mjini hapa na tupo over 30 nadhani utakuwa na makoloni mengi ambayo ulishayapitia na ni kweli you can be a friends, kumbuka wengine ndio tumejifunzia nao barehe zetu tukiwa secondary school, lazima utakuwa na ma x wengi tena mimi huenda hata FUSO lisitoshe kuwabeba, laabda FUSO mbili.Mkuu labda tuambie faida za kuwa maadui baada ya mapenzi kuisha. Sidhani kama ni vibaya kuwa na urafiki wa kawaida na ex wako unless your ex has something else in mind. La muhimu ni kujiuliza ni kwa nini huyo ex thinks about the whole friendship thing. Investigate. Ukiweka mipaka na kumweleza wazi kuwa intention yako ni kuwa marafiki wa kawaida tuu and nothing more else sidhani kama kutakuwa na tatizo. Ukiwa muwazi na kama alitaka zaidi, then s/he will back off hata huo urafikiri wenyewe. Tatizo la wanaume wengi ni kutokuweza kuwa friendship na ex wao. lazima utamchakachua tena. Ili ku avoid hili, ndio maana tunaamua kukata mawasiliano kabisa.
Lakini ku support idea ya friendship after relationship haina maana kuwa wengine ni wadogo. Kumbukuka kuna watu ambao wameshakuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na watu wengi. Kwa argument yako ina maana mtu kama huyo awe adui na hao watu? Urafiki na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Kuna watu wengi wanaanza na urafiki unaishia kwenye mapenzi. Sasa kama mapenzi yakivunjika, then sioni sababu ya kuvunja pia urafiki ambao mlikuwa nao hata kabla ya kuanza uhusiano wa kimapenzi. Lakini kama mlianza na mapenzi motomoto tuu bila kuwa na urafiki wowote kabla, then mapenzi yakifa, hakuna kitakachobakia hapo.
Lakini pamoja na hayo bado naamini kuwa milima haikutani, lakini binadamu hukutana.
Inawezekana mimi ni mgeni jukwaa hili kwahiyo sielewi taratibu zake, lakini kama niko sahihi nadhani wale wanaopenda kuchart wangekwenda kwenye JF chit chart. hii thread mngeacha wachangie wenye point na subject husika. Am standing to be collected.
Hahaha! hii si itakuwa kutaka kupiga honi kwenye gari ulilopewa lift lol!.... In case hupendezwi na hizo chit chat always bofya REPORT ABUSE. Its there for you to use.
badly,kisa chenyewe kilikuwa hivi kuna mzee wa kihindi alikuwa boss wake akawaita wafanyakazi wake(sita) na kuwaambia yeye anafunga ofisi na kuhamia Canada,na kwakuwa wamemfanyia kazi nzuri atawakopesha kila mmoja milioni 20 za kufanyia biashara ambazo anataka warudishe baada ya miaka mitano bila riba yoyote. Sasa bibie akaingia tamaa akaona anaweza kupata zaidi kama atamliwaza mzee wa watu na labda hata kusamehewa kulipa hiyo mil 20.
Akaniacha na kuanza kumfukuzia mzee wa watu lakini mzee akamtolea nje kwamba hahitaji mpenzi ana mke na watoto anachotaka wafanyakazi waendelee na kurudisha mkopo KWISHA KAZI.Baada ya muda akataka kurudi nikamtolea nje na sasa baada ya muda ndio anataka tuwe marafiki. Kibiashara kaendelea kidogo ana gari na vi-boutique viwili na anajenga nyumba yake kwa sasa.
Point noted mkuu,........huku hakuna mambo ya ubishi huku ni kujiachia, hili litakuwa jukwaa langu la kupumzikia instead log in facebook.Kama ni mgeni wa hili jukwaa, then ungeuliza kwanza taratibu zake kabla ya kujaribu "ku impose" rules zako. Kumbuka hili ni jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki. Katika kuendeleza mahusiano, mapenzi na urafiki wetu kwenye jukwaa hili, ndio maana sometimes, huwa tuna chit chart in between. Kama tukiwa tuu serious na hoja, then sidhani kama tutakuwa tunalitendea haki hili jukwaa na kuna hatari kubwa mahusiano, mapenzi na urafiki wetu ukavunjika. Mkuu huku ni kazi na dawa. Hata Faiza Foxy na Mwanakijiji wakija huku ni mahusiano, mapenzi na urafiki mtimdo mmoja wakati huwa tunatoleana povu kwenye lile jukwaa la siasa. In case hupendezwi na hizo chit chat always bofya REPORT ABUSE. Its there for you to use.
Unajuwa Mkuu kwa sisi tuliosoma mjini hapa na tupo over 30 nadhani utakuwa na makoloni mengi ambayo ulishayapitia na ni kweli you can be a friends, kumbuka wengine ndio tumejifunzia nao barehe zetu tukiwa secondary school, lazima utakuwa na ma x wengi tena mimi huenda hata FUSO lisitoshe kuwabeba, laabda FUSO mbili.
Lakini point yangu hapa ni mtu uliyepanga nae maisha na ukaamni mimi hapa ndio mwisho wa reli, halafu anakuzinguwa tena vibaya huyu mtu wewe unahitaji nae urafiki ili iweje? haufahamu kwamba kuna waliojiuwa kwa kushindwa kuwa na mioyo ya kijasili ya kuukubali ukweli? cha msingi hili eneo halimgusi kila mtu, kama demu ulimpata Fiesta na baada ya miezi 2 mkaachana huyu ataendelea kuwa rafiki kwenye mupe muruke.
Nice!!!Point noted mkuu,........huku hakuna mambo ya ubishi huku ni kujiachia, hili litakuwa jukwaa langu la kupumzikia instead log in facebook.
Point noted mkuu,........huku hakuna mambo ya ubishi huku ni kujiachia, hili litakuwa jukwaa langu la kupumzikia instead log in facebook.
Nice!!!
Nishachangia EMT siwezi, coz kwanza siwezi ruhusiwa na partner wangu, napenda uhusiano wetu uwe kwenye mambo muhimu tu, na sio urafiki kama watu wenginne ambao kila mara tunaonana kupata moja moto, siwezi kabisa, ni kukaribisha kumkosesha raha current partner tuNa wewe tupe mchango wako, from a female point of view. Would you be friend with your ex, if any, and why?
Poa usije tu ukawa unawahi bafuni, unatudanganya hapa, all the best ila sasa hakikisha mshike mkono usimwache nyumaJamani tuonane asubuhi, naona shemeji yenu kaniivalia kanga moja ndembe ndembe alafu anilegezea macho, hapa inabidi nishut down laptop niingie kwenye jukumu lingine.
Hii JF ukiifatisha kila siku utakuwa kwenye mahusiano mapya kumbe tatizo internet, huna muda wa kumpetpet partner. Alamsiki.