Mi nilishindwa sijui nyie.

Sawa kabisa babu, tunaongelea kuachana na kila mtu akaendelea na maisha yake mengine, hapo kwenye kutamaniana ni mbali sana na wala halipo kabisa kama watu mmeachana with genuine reasons but still haimaanishi kwamba mkikutana hamwezi kuongea au ukamsaidia mtu kama ana shida ya kibanadamu ambayo unaweza kumsaidia binadamu mwingine yoyote

Kwani wewe ndo binadamu pekee anayewza kumsaidia???

Huo ndo mwanzo wa kukumbushana mapito ya kale...kalaghabaho!
 
...Hata rafiki yangu haruhusiwi ku hug my man... sina uzungu huo.
hahaha! punguza wivu bana.

Mnaongelea wapi??

Barabarani au chemba??
barabarani,huyu navyoona nikikutana nae chemba anaweza nibaka-sitaki ya Zimbabwe.

Mpotezee huyo labda kama mliachana kwa amani unaweza kumfanya awe rafiki.
Msamehe kwa yote ila usirudishe ukaribu kama huitaji kulivaa tena gamba.
my point also,halafu maadam umesema wewe ndio kabisaa atanisikia kwenye redio na kuniona kwenye TV hahaha!

Uporoto yaliyopita si ndwele, tugange yajayo, huyo anakupotezea muda tu
kama aliamua ku move on, mwache ende urafiki kati ya ma x huwa sio mzuri sana hasa wa kuonana mara kwa mara
salaam on the road foolstop.
 
Mpotezee huyo labda kama mliachana kwa amani unaweza kumfanya awe rafiki.
Msamehe kwa yote ila usirudishe ukaribu kama huitaji kulivaa tena gamba.

aisee...hii statement sijui hata kama naielewaga context yake....ngoja niombe msaada kwa babe AshaDii hapa atanisimulia usiku tukilala
 
kwenye public kama kwenye dala dala kwa sisi wapanda daladala au kaja ofisini kwako anashida ya kiofisi au anahitaji professional advice yako juu ya kitu fulani au kakupigia simu anakusalimia au anashida, hapo mi sioni tatizo

Hivi, O&O unamfahamu babu DC? nauliza tu
 
Kuna dada tuliachana vibaya miaka mingi iliopita na muda huo akataka eti tuendelee kuwa marafiki mimi nikampotezea.Sasa kuna siku moja moja tunagongana mitaani na hunilaumu sana eti kwanini simpigii simu au hata sms na siku mojamoja tuweze kupata hata chakula cha mchana.Hivi kuna urafiki baada ya mapenzi kufa ?

Hapo kwenye red inatgemea. Kama unafikiri urafiki na mapenzi ni kitu kimoja, then hakuna urafiki baada ya mapenzi. Lakini kama unafikiri ni vitu viwili tofauti, then kunaweza kabisa kuwa na urafiki baada ya mapenzi.

In front of the person you love, your heart beats faster
But in front of the person you like , you get happy.

In front of the person you love, winter seems like spring
But in front of the person you like, winter is just a beautiful winter.

If you look into the eyes of the one you love, you blush
But if you look into the eyes of the one you like, you smile.

In front of the person you love, you can' t say everything on your mind
But in front of the person you like, you can.

In front of the person you love, you tend to get shy
But in front of the person you like, you can show your ownself.

Then person you love comes into your mind every 2 minutes.
You can't look straight into the eyes of the one you love
But you can always smile into the eyes of the one you like.

When the one you love is crying, you cry with them
But when the one you like is crying, you end up comforting.

The feeling of love starts from the eye
And the feeling of like starts from the ear.

So if you stop liking a person you used to like
All you need to do is cover your ears,
But if you try to close your eyes
Love turns into a drop of tear and remains in your heart forever after.


Authur unknown


 
kwenye public kama kwenye dala dala kwa sisi wapanda daladala au kaja ofisini kwako anashida ya kiofisi au anahitaji professional advice yako juu ya kitu fulani au kakupigia simu anakusalimia au anashida, hapo mi sioni tatizo
Kwa nini mnapenda kulazimishia watu marafiki? yaani uporoto 01 ameishiwa marafiki mpaka lazima na urafiki na huyo mwanamke? humu inaonekana wengine bado wadogo haya mambo yanakera na yanauma kuliko unavyoweza kuamini, maana mtu unaweza ukawa umejitoa muhanga na kudevort ur time kwa ajili mapenzi na huenda hata ndugu zako wengine mlikosana kwa ajili ya mapenzi then demu anakuzinguwa eti baadae unasema tuwe marafiki?
Naona mnaleta mzaha wa makusudi.
 
Kwa nini mnapenda kulazimishia watu marafiki? yaani uporoto 01 ameishiwa marafiki mpaka lazima na urafiki na huyo mwanamke? humu inaonekana wengine bado wadogo haya mambo yanakera na yanauma kuliko unavyoweza kuamini, maana mtu unaweza ukawa umejitoa muhanga na kudevort ur time kwa ajili mapenzi na huenda hata ndugu zako wengine mlikosana kwa ajili ya mapenzi then demu anakuzinguwa eti baadae unasema tuwe marafiki?
Naona mnaleta mzaha wa makusudi.
Matola mimi sitaki urafiki yeye ndio analazimisha nami bado sihitaji.
 
Hon tatizo you always want to read between the line....lolz...
Mie usiku nina hadithi nyingine... hio siitaki...

orait babe I get u..but before I allow you that, nitakusimulia kisa cha Mfalme na wali wenye walakin....kile kitabu changu cha Hekaya za Abunuwas si kipo karibu...hahaha
 
aisee...hii statement sijui hata kama naielewaga context yake....ngoja niombe msaada kwa babe AshaDii hapa atanisimulia usiku tukilala
<br />
<br />
gamba likivuliwa limevuliwa kaizer hakuna kuvishana magamba ya zamani. Lol.
Halafu huyu uporoto ataniua kwa presha, kigamba cha zamani kinajirudisha wakati jigamba jipya nipo. Khaaa!
 
<br />
<br />
gamba likivuliwa limevuliwa kaizer hakuna kuvishana magamba ya zamani. Lol.
Halafu huyu uporoto ataniua kwa presha, kigamba cha zamani kinajirudisha wakati jigamba jipya nipo. Khaaa!

Ukiona hivyo ujua kumbe hujajivalisha vya kutosha ama saizi hazitoshani.....sijui ndo nimeelewa maana?
 
orait babe I get u..but before I allow you that, nitakusimulia kisa cha Mfalme na wali wenye walakin....kile kitabu changu cha Hekaya za Abunuwas si kipo karibu...hahaha


Hapo tupo pamoja... so looking forward... hakikisha tu ile dim light leo

umetengeneza... sitaki gizo wala mwanga mkali....lolz
 
<br />
<br />
gamba likivuliwa limevuliwa kaizer hakuna kuvishana magamba ya zamani. Lol.
Halafu huyu uporoto ataniua kwa presha, kigamba cha zamani kinajirudisha wakati jigamba jipya nipo. Khaaa!
Huko sirudi tena niache mwanga nikimbilie giza ? i dont think so.
 
Hapo tupo pamoja... so looking forward... hakikisha tu ile dim light leo

umetengeneza... sitaki gizo wala mwanga mkali....lolz

You know what baby, nimeshapita kwa mpemba, and I got ur favourite....and hopefully leo stima itakuwepo, kwa fadhila za TANESCO lol so you get your full package..lol
 
You know what baby, nimeshapita kwa mpemba, and I got ur favourite....and hopefully leo stima itakuwepo, kwa fadhila za TANESCO lol so you get your full package..lol


hivi huja notice a week imepita na that is what we are relying on.... Hivi TANESCO ndo akina nani Lov?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom