Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
- Thread starter
- #21
Asante ndugu!Ngosha neno la kabila la kisukuma maana yake ni 'Mwanaume'
Asante ndugu!Ngosha neno la kabila la kisukuma maana yake ni 'Mwanaume'
Asante sana Mrimi, ila sielewi nini maana ya "ngosha"
Asante Bi Kiroboto! Unaonekana mkarimu kweli.IP yako ina maana fulani katika kabila fulani kubwa hapa TZ, nahisi ndio maana ametumia hilo neno.
Ushofu, lina maana nzuri.
Mbona wanitisha speedy! Sawa nitaacha ukabila ila kwenye ardhi mtanisamehe, lazima ni nunue ardhi kubwa!
kweli, ila sema tatizo ni watu wamemiliki ardhi kubwa sana, unakuta landlord anamiliki mpaka wanaoishi kweyne ardhi yake.huko kwenu Siasa na Utumishi wa Umma ni vitu viwili tofauti...hapa hatutenganishi vitu hivyo yaani jiandae kuona vululuvululu.
Duhu, Ng'wanakidiku, ng'wangaluka baba. Uli mhola? Ukifuatilia post zako zote ulizoanzisha hapa jamvini utajistukia kwamba wewe ni mbongo, tena msukuma wa kule Nyanhemwa karibu na Nyamhandwa. Sema umejisahau tu!
Umenihappisha kinoma jamaa wewe!! nini maana ya "Uli mhola"? sema mineno mingine haijaelewa kama nyanhemwa n.kDuhu, Ng'wanakidiku, ng'wangaluka baba. Uli mhola? Ukifuatilia post zako zote ulizoanzisha hapa jamvini utajistukia kwamba wewe ni mbongo, tena msukuma wa kule Nyanhemwa karibu na Nyamhandwa. Sema umejisahau tu!
Kenya bepari wengi wamekwisha shika uchumi. Nataka kuja shika uchumi wa TzNahisi kama tumetangulizwa na baiskeli ya miti vile. Kwanza IP nina mashaka nayo, lakini pia inaonekana siku hizi wenzetu mmeimprove sana kiswahili, maana kwa jinsi unavyopindua maneno ni kama uko manzese vile! Lakini mbona hujatuambia sababu ya kuamua kuja (kama ni kweli) kuishi huku, maana wewe sio mgeni humu ndani.
We jamaa wasema geneus ipi?You must be a genius bro!z
We jamaa wasema geneus ipi?
Mbona jibu ilishatoka Mrimi.Nimesema genius bro, sio geneus. Mbona tuaanza kupoteana tena. Hebu jibu kwanza hoja ya Askari Kanzu.
Naishi Kakamega kijiji cha Kangeme.Umevutiwa na nini zaidi?
Kama kenya ulikua pwani, basi na huku njoo Tanga au Pwani.
Kama Kenya Ulikua Kisumu, basi nenda Mwanza.
Kama Kenya Ulikua Nakuru Nakuru, basi nenda Arusha, Moshi.
Na kama Kenya ulikua wewe ndio mjanja wao basi nenda moja kwa moja Dar.
Kakamega? kwa kweli sijui huku utapenda wapi. Jaribu Dodoma ndani ndani kidogo, utaona mashamba ya mahindi kama ya soy na Moi's Bridge...Naishi Kakamega kijiji cha Kangeme.
Nasikia Dodoma pana ukame, labda MorogoroKakamega? kwa kweli sijui huku utapenda wapi. Jaribu Dodoma ndani ndani kidogo, utaona mashamba ya mahindi kama ya soy na Moi's Bridge...