Hivi kuna wa Agricultural sciences and technology hukoo Songea? Au ni mimi 2 nini!
sidhani
Jamani hawa wahindi english yao duh mi ndo lecturer zangu hizo english haieleweki kitu ya ven badala ya when,z badala ya j
hiyo program iko st joseph ya songea kama si ya mbeya...ila kama unaipenda nenda..inapay na ni nzuri pia!!!da mkuu acha utani, mi nimepangwa st.joseph agricultural engineering nahisi ni songea ila sina uhakika vizuri kwa sababu sikukichagua na hawaja andika ni wapi,nisaidieni wakuu kwa sababu sijaelewa!
hiyo program iko st joseph ya songea kama si ya mbeya...ila kama unaipenda nenda..inapay na ni nzuri pia!!!
da mkuu acha utani, mi nimepangwa st.joseph agricultural engineering nahisi ni songea ila sina uhakika vizuri kwa sababu sikukichagua na hawaja andika ni wapi,nisaidieni wakuu kwa sababu sijaelewa!
hiyo songea
Naomba unisaidie mkuu, ni sisi 2liochaguliwa huko ndo wa kwanza kwenye hizo kozi au kuna mwaka 2,3,4. Unaweza mjua yeyote anayesoma hukoo! Shukran sana mkuu!
mkubwa ni npo cmps ya songea kuhusu hyo koz nhv. Hapa kulikua na koz moja yan computer science pekeake ila sasa hv wameleta na hyo agrculture science means nyie ndio first intec kuja kuanza hyo koz.. Karbu sn mkubwa na kiangaz hk chagua nguo ambazo hazshk vumbi.