Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Jamaa amekaa na mzungu kwenye banda la mihogo ya kukaanga wakiwa wanakula ghafla jamaa muhogo ukamkwama na maji anayo yule mzungu, weeee hapo sasa..!! Jamaa akaanza ''ZE.. ZEE.. CASAVA IZ STANDING AT ZEKOLOMELO WATER PLZ!!! Mzungu akamuangalia kisha akamwambia; ''UTAKUFA MDOGO WANGU WE SEMA TUU UNATAKA MAJI, MI MSWAHILI WA SINZA MORI, NGOZI ISIKUZUZUE."