sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Nimeona kwenye facebook mhindi yule wa mohamed enterprises anajigamba kwamba anampigia simu gavana ampe solutions za matatizo ya kuporomoka shilingi na mfumko wa bei...hivi hawa wahindi mbona wanajifanya kimbelembele sana?​