sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,122
- 4,231
Hili jambo ni gumu sana kutatuliwa kwa uhakika ,kuna waheshimiwa japo hawapigi tembo kama wao lakini wananeemeka na biashara hiyo.Wananguvu ya fedha na kinga ya kisiasa au ni watu maarufu wenye kumjua nani na atapata nini,Operesion tokemeza alioianzisha JK ilichafuliwa na baadhi ya watu i ikabidi isimamishwe,kama haitoshi wabunge nao wakaipigilia msumari kuwawajibisha mawaziri.Majangili yakashinda serikali ikanywea.