CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA) ni cham chenye haki zote ya kukamata dola kwa kuwa na watu makini na wenye uelewa mkubwa wa maendeleo ya nchi yeu kwa ujumla
Kweli katika ahadi zao ni katiba mpya CHADEMA HAKIPO MADARAKANI ila katika siku100 walizo ahidi zimetimia na swala la katiba linafanyiwa kazi na mazuzu wenye magamba
mimi binafsi nakiunga mkono chadema na hapa nilipo kuna kundi kubwa la watu kama milioni 15 wako nyuma ya chadema
Kweli katika ahadi zao ni katiba mpya CHADEMA HAKIPO MADARAKANI ila katika siku100 walizo ahidi zimetimia na swala la katiba linafanyiwa kazi na mazuzu wenye magamba
mimi binafsi nakiunga mkono chadema na hapa nilipo kuna kundi kubwa la watu kama milioni 15 wako nyuma ya chadema