Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 611
Brain kama ya dovutwa
Mwenyekiti wa maisha wa TiEluPii..
Brain kama ya dovutwa
Je umaarufu wa Dr Slaa umetokana na nn? Siasa za majitaka au kuzomea ama maandamano ? Hana historia ya siasa ktk nchi hii ukilinganisha na hao wengine, kilichompa umaarufu ni bunge akiwa M/kiti wa kamati aliyepo Mrema na aliyemtengenezea umaarufu zaidi ni Spika Sitta !!! UNABISHA??? Kuporomoka kwa hao wengine si kwa sababu ya kugundulika ushiriki wao kwa ccm bali ni alama za nyakati! Angalia sana usiwe unalaumu holiscally!!! Nanai anaihadaa dunia kwa faida ya nani? Demeokrsaia ya vyama vingi ni mfumo kwa nyakati hizi na SItta aliusimamia ndiyo maana akchaguliwa Rais wa Commonwealth Spikas!!!!
TAKE NOTE!!!
Brain kama ya dovutwa
Huna uhakika na unachokinena, hujui alichofanya Dr Slaa kwenye kamati hiyo.Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.