Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Nimetumwa na wenzangu Kijiweni,hapa kwenye kona kama unaelekea kwa upande wa pili wa mtaa...wanaulizia yafuatayo:
1. Eti bado una yale majina ya ile sensa ya wale waliotajwa na waTz kwamba ni washiriki wa makosa mbalimbali ya kijinai katika ile sensa ya kipindi kileee??
2. Eti ni kweli wafanyakazi wa serikali yako hawana morali kabisa??
3. Eti ni kweli tutashindwa kuwa na uwezo wa kununua hata mlo mmoja kwa siku??
4. Eti wanauliza ukimaliza muda wako wakukumbuke kwa kipi??
Actually wana maswali mengi sana,afu wanauliza bila mpangilio,hata mengine nimeyasahu, nikienda tena nitayaandika vizuri kisha nitakuja kukupostia hapa jeiefu..ubarikiwe!!
1. Eti bado una yale majina ya ile sensa ya wale waliotajwa na waTz kwamba ni washiriki wa makosa mbalimbali ya kijinai katika ile sensa ya kipindi kileee??
2. Eti ni kweli wafanyakazi wa serikali yako hawana morali kabisa??
3. Eti ni kweli tutashindwa kuwa na uwezo wa kununua hata mlo mmoja kwa siku??
4. Eti wanauliza ukimaliza muda wako wakukumbuke kwa kipi??
Actually wana maswali mengi sana,afu wanauliza bila mpangilio,hata mengine nimeyasahu, nikienda tena nitayaandika vizuri kisha nitakuja kukupostia hapa jeiefu..ubarikiwe!!