obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
ratiba yako ni nzuri sana.baada ya jana kutuonesha kweli umepinda na ukatumia vitisho kuturudisha kazini nimeona nikuelezee ratiba yangu ya leo.
Nimeamka saa tatu kasorobo asubuhi nikakaa kwenye computer kuprint cv.by saa nne nilifika mwenge nikaenda uchochoro fulani kupata supu na chapati.nikapeleka cv kwenye private hospital nne.mida hii nipo valentino pub napata konyagi na bitter lemon bariiiiiiiiidi na sambusa za buku mbili nikisubiria barua yako ya kunifukuza kazi.nikiondoka ntakutaarifu.pole kwa kazi za kujenga taifa
komaeni bana msikate tamaa yan mkirudi nyuma nitawashangaa, komaeni hadi kieleweka ! kitaeleweka tu very soon coz nyie ni watu muhimu sana.