Ni Shoga Wa Kifikra Ama Changudoa Wa Kisiasa!
Huyo jamaa anajulikana kama AUNTIE Selukamba Bungeni, draw your own conclusions.
Ni Shoga Wa Kifikra Ama Changudoa Wa Kisiasa!
Mafisadi wakishinda....WABUNGE WOTE WA CCM WATAWASAPOTI KWASABABU WANANTAKA PESA ZA KAMPENI 2010!
Wanasiasa kama hawa huwa wanaitwa wanasiasa malaya kwa sababu yeyote atakeshinda hivi vita kati ya wazalendo na mafisadi basi wao watandandia washindi tu bila ya kujali kama ni haki ya mtanzania imefuatwa kwa msaada wao kama wawakilishi wa wananchi.
Wengi wao wanawawakilisha wananchi wajinga wasio jua haki zao na hivyo kuendelea kuliangamiza taifa!
Kilimanjaro,Arusha na kwingineko tulishawagomea na mtu anapewa kura kwa kile alichowafanyia wananchi na si UPASHKUNA!
kwa Pilato Haziendagi Hadithi Zakusadikika Kaka,
NCHIMBI,J Junior Member Join Date: Mon Jun 2008
Re: Mheshimiwa Peter Serukamba-uko na wananchi au mafisadi?
Quote: Originally Posted by Chief
Ni Shy au......?
Sina namna ya kukusaidia,nimeweka jina langu na unaniita mie ni Shy,mimi ni mtu naesimamia hoja zangu bili woga na sina sababu ya kujificha kwa kuwa mimi ni mpiganaji makini.naweza kupa ata namba zangu unipigie kama unazitaka.
Tujisenti Senior Member Join Date: Wed May 2008
Re: Mheshimiwa Peter Serukamba-uko na wananchi au mafisadi?
Huyo Mheshimiwa amewekwa mfukoni na mafisadi.Anakula hela za RA na EL ndiyo maana akili hana
Mbona Hii Issue Inakuuma Sana Best!!! Are U Among Mafisi Maji???
Kila Mtu Ana Haki Ya Kusimamia Anachoamini Ni Kweli,hata Kama Wewe Unaona Si Kweli.namjua Mh Serukamba,ni Kijana Anaesema Kweli Na Haogopi Kusimamia Ukweli Anaohamini,ni Mpiganaji Hasiechoka,ndio Maana Alimwangusha Kaburu Kigoma....unajua Zamani Inasekana Kuna Mwanafalsafa Mmoja Alidai Kuwa Dunia Ni Duara Na Sio Bapa,alibishana Na Watu Wote Mpaka Wakamuua.lakini Leo Historia Imeona Nani Ni Kweli,leo Hii Mnaweza Kuona Serukamba Hayuko Sawa Lakini Ni Kwa Mtazamo Wa Masafa Mafupi,historia Itamuona Tofauti Na Hayo Mnayowaza.
Huyo jamaa anajulikana kama AUNTIE Selukamba Bungeni, draw your own conclusions.
19th June 2008 09:35
yanafichuka taratibuHaya matusi Bungeni April-2013 kumbe si ajali bali hulka!