FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
HTML:
Kazi ni kazi muraaa! Mwankenja anastaafu na kichwa cha mahakama yenyewe kwa sentensi!!!!
mheshimiwa henzron mwankenja wa mahakama ya kisutu amemtia hatiani mheshimiwa mwenzake nzota kwa kesi ya kudai na kupokea rushwa. Waliopo kisutu waende kazini kwa picha na habari zaidi.HTML:
Kazi ni kazi muraaa! Mwankenja anastaafu na kichwa cha mahakama yenyewe kwa sentensi!!!!
Hakimu Jamila Msota aliyekuwa anatuumiwa kuomba na kupokea rushwa ameukumiwa leo asubuhi kwenda jela miaka kumi na moja aliyeongoza jopo la mahakimu kutoa hukumu hiyo ni Hakimu Estron Mwakenye
Hakimu Jamila Msota aliyekuwa anatuumiwa kuomba na kupokea rushwa ameukumiwa leo asubuhi kwenda jela miaka kumi na moja aliyeongoza jopo la mahakimu kutoa hukumu hiyo ni Hakimu Estron Mwakenye
Kula na kulipa ni mtindo wa kisasa. Lakini wakimfunga atapelekwa gereza gani maana si atakutana na wamama aliowapiga mvua
Mhh hukumu yake mbona ndefu sana jamani duuuh!
Una maana Mwankenja?