Hana watoto wakumwambia "baba hiyo mwachie mama".Inaoneka kama ndio alikuwa anajifunza kuride hapo.Wenzake wame relax, Magufuli kama kachorewa mstari chini.jamaa hazijui unajua yy ameshazoea phonix za kpnd kileeeee......ndo aksema ajaribu hizi mpya...!!!!!
Mawazo mgando yanawasumbua mkuu..........Sijui hata wanatumia vigezo gani, eti ya kike. Mi nadhani ni ulimbukeni tu.yaani baiskeli kuwa na kikapu pale mbele ndio inakua ya kike?
Kwani hiyo basikeli imevaa sidiria mpaka iwe ya kike?
Baiskeli za kike zikojeKwani hiyo basikeli imevaa sidiria mpaka iwe ya kike?
- mleta mada kwa nini umesema baiskeli ya kike. Je inaweza kupata mimba.
So sometime kumbe tunawarushia mawe wanasiasa ila hata sisi tukipata nafasi mambo ni yale yale. KWa kuandika neno baiskeli ya ike i can see utakapokuwa kwenye postion ya kuamua kununua VX au vitara kwa mfanyakazi wa umma anayeishi masaki. Kama ni mwanaume VX kama ni mwanamke ........
- Je waheshimiwa wanaptumia VX badala ya VITARAau RAV4 sababu vitara nazo wenye mawazo finyu wanazizita kitchen party utawashangaa ?
Kweli kazi tunayo kama mawazo yenyewe ni haya .........
BTN.
Hapo jamaa wanawfundisha wanasiasa kuwa kuendesha baiksekeli maybe hata pikipiki sio kundoa status ya cheo .kwanza ni kujeng afya pili ni uonyesha unajali mazigira. Its only wanasasia wakifrika baiskeli /pikipiki ni msamiati .Hivi ni vitu vidogo lakini vikifanywa na wasiasa japo mara moja kwa wiki vinaweza kuleta change. Hata kupunguza kero ya foleni