Mheshimiwa Mwakyembe Jiandae Kuchukua Nchi

Fredrick Sanga

JF-Expert Member
Jan 27, 2011
3,153
697


Pamoja na kwamba huna mkuu, ni mtu wa staha, na ni mapema sana, lakini kwa kanzi ya kwanza nzito uliyopewa ulionyesha uzalendo wa hali ya juu. Najua kazi ile ya kamati ya umeme ilikuwa hatari sana, lakini uliifanya kwa umakini na uaminifu kwa umma. inawezekana kwa usalama mengine hayakusemwa lakin ulifanya. Unafaa kuchukua uraisi 2015.

Vigezo:
Umri unakuruhusu
Umeshapewa ujiko wa uwaziri, kunjua makucha
Kule kyela watakataa jinsi wanavyokuhitaji, anza kupiga debe
Wako wengine wenye sifa lakini umewazidi kielimu Dr.
Hata CDM wanakuogopa
Ni mcha Mungu
Huna Mkuu
Mtoto wa mkulima
Unaujua ukweli pamoja na kwamba umebanwa

Hawa wengine, bahati mbaya watakuwa wamwchoka
Dr Slaa. Six, Mwandosya, Makamba, Lowasa NK

tafadhali anza mbele kwa mbele, tena staili ya Magufuli.


Mwalimu alisema hivi, kama kiongozi amechaguliwa na watu, halafu anasimamia haki za watu waliomchagua basi ana haki ya kuwa kiongozi, lakini kama au hakuchaguliwa na wananchi au amechaguliwa halafu akaacha kusimamia haki za wale waliomchagua, basi anakuwa amepoteza haki ya kuwa kiongozi. huyu alikuwa mwana wa fdilisophia. Alimwambia mtu mmoja aliyekuwa TYL kuwa ni mchafu na hafai kuwa kiongozi, ana tamm ya mali, bado kijana mdogo lakini ana mali nyingi sana, huyu!. Mambo haya ni juu ya wana wa nchi, CCM, CUF, CDM, UDP, TLP, NCCR, NLD NK kuchambua pumba ni ipi na mchele ni upi.

Tatizo huwa ni kukubali kununuliwa. Vyama inabidi vifute kabisa dhana ya kununua wanachama. Kwani chama ni wanachama, na kinaendeshwa na wanachama. Kama kuna mtu anafikiri kwa visenti vyake atanunua wanachama wote amekwisha. asome alama za nyakati. kuna watu waligombea ubunge kwa pesa nyingi wameshindwa na watu waliokuwa wakichangiwa na wapiga kura.

Alama za nyakati, zinaonyesha Mheshimiwa Mwakyembe haitaji kuonga hata senti tano kwa mtanzania. Ila ajue kwamba asiposhughulikia swala hili hata nbinguni ataulizwa.
 
Pamoja na kwamba huna mkuu, ni mtu wa staha, na ni mapema sana, lakini kwa kanzi ya kwanza nzito uliyopewa ulionyesha uzalendo wa hali ya juu. Najua kazi ile ya kamati ya umeme ilikuwa hatari sana, lakini uliifanya kwa umakini na uaminifu kwa umma. inawezekana kwa usalama mengine hayakusemwa lakin ulifanya. Unafaa kuchukua uraisi 2015.

Vigezo:
Umri unakuruhusu
Umeshapewa ujiko wa uwaziri, kunjua makucha
Kule kyela watakataa jinsi wanavyokuhitaji, anza kupiga debe
Wako wengine wenye sifa lakini umewazidi kielimu Dr.
Hata CDM wanakuogopa
Ni mcha Mungu
Huna Mkuu
Mtoto wa mkulima
Unaujua ukweli pamoja na kwamba umebanwa

Hawa wengine, bahati mbaya watakuwa wamwchoka
Dr Slaa. Six, Mwandosya, Makamba, Lowasa NK

tafadhali anza mbele kwa mbele, tena staili ya Magufuli.

Hizo zenye red ni vigumu kudhibitisha

mfano unajuaje ucha mungu wa mtu? (wewe mungu?)

Kuogopwa na cdm? siyo sifa hata kidogo na hata mtoto wa mkulima siyo sifa hata kidogo!
 
Naona hujui au umesahau namna ccm wanavyompata mgombea wao. Pia utakuwa hukumbuki namna wajumbe wanaopiga kura wanavyopatikana ccm.
 
umetumwa? mbona siasa na fitina zimehamia bungeni saizi wee unaandika wehu?
 
Ndio Naelewa kwamba kupenya ndani ya SISIMU ni ngumu sana, lakini kuna namna mbili kuu za kupenya.
1. Kurubuni kwa kutumia mapesa
2. Kufanya mamboyanayokubalika na umma

Hiyo ya pili ilitumika na Mhe Sarwati kule Babati, Dr Slaa, Shibuda na wengine. Issue sio chama. ukishakuwa tayari, na watu wamekukubali watakuita cdm au kwingine. Lakini ningependa aelewe anakubalika na hata akitemwa na chama fulani anakubalika.

Hapa ni Tanzania kwanza sio Chama kwanza
 
[QUOTE=Topical;1599596]Hizo zenye red ni vigumu kudhibitisha

mfano unajuaje ucha mungu wa mtu? (wewe mungu?)
Mungu anajua

Kuogopwa na cdm? siyo sifa hata kidogo na hata mtoto wa mkulima siyo sifa hata kidogo![/QUOTE] kama Dr anavyogopwa na CCM ni sifa

 
Pamoja na kwamba huna mkuu, ni mtu wa staha, na ni mapema sana, lakini kwa kanzi ya kwanza nzito uliyopewa ulionyesha uzalendo wa hali ya juu. Najua kazi ile ya kamati ya umeme ilikuwa hatari sana, lakini uliifanya kwa umakini na uaminifu kwa umma. inawezekana kwa usalama mengine hayakusemwa lakin ulifanya. Unafaa kuchukua uraisi 2015.

Vigezo:
Umri unakuruhusu
Umeshapewa ujiko wa uwaziri, kunjua makucha
Kule kyela watakataa jinsi wanavyokuhitaji, anza kupiga debe
Wako wengine wenye sifa lakini umewazidi kielimu Dr.
Hata CDM wanakuogopa
Ni mcha Mungu
Huna Mkuu
Mtoto wa mkulima
Unaujua ukweli pamoja na kwamba umebanwa

Hawa wengine, bahati mbaya watakuwa wamwchoka
Dr Slaa. Six, Mwandosya, Makamba, Lowasa NK

tafadhali anza mbele kwa mbele, tena staili ya Magufuli.

Mkuu hiyo ni kweli kabisa Ndg yangu Mwakyembe changamka ndo kumekucha hivyo!!!!!!!!!!Kwa uadilifu huna mpinzani jipange uokoe hili jahazi linazama. Huyu nahodha wetu hajui cha omo wala, tezi wala ngamani. Linazama dalili ni za wazi kabisa. Kila sifa unayo, kama ni kutumikia wananchi ni Tanzania yote siyo watu wa Kyela peke yao. Okoa jahazi wote wamelala usingizi wa pono, hawaoni mbele tutakwama , shika usukani mabaharia uwape mwelekeo !!!!!!!
 
Hivi watanzania wenzangu, mnajua ya kwamba ni vizuri kuwa na mawazo ya mbeleni, kwani mambo ni mabaya sana. Angalieni upinzani unavyokwenda, tuahitaji Raisi atakyeweza kuishi na upinzani. Raisi anayechukia mafisadi, raisi anayependa bunge makini. Najua sasa hivi kunawanaolia na kufurahi, lakini tuangalie dhamiri zetu.

Nilisema Salim anazeeka, mwandosya kachoka, Ole labda sijui, Slaa nae anazeeka, Lipumba amechoka. Mimi nasema katika Waheshimiwa wa umri wa kati, Huyu ndiye.
 
Pamoja na kwamba huna mkuu, ni mtu wa staha, na ni mapema sana, lakini kwa kanzi ya kwanza nzito uliyopewa ulionyesha uzalendo wa hali ya juu. Najua kazi ile ya kamati ya umeme ilikuwa hatari sana, lakini uliifanya kwa umakini na uaminifu kwa umma. inawezekana kwa usalama mengine hayakusemwa lakin ulifanya. Unafaa kuchukua uraisi 2015.

Vigezo:
Umri unakuruhusu
Umeshapewa ujiko wa uwaziri, kunjua makucha
Kule kyela watakataa jinsi wanavyokuhitaji, anza kupiga debe
Wako wengine wenye sifa lakini umewazidi kielimu Dr.
Hata CDM wanakuogopa
Ni mcha Mungu
Huna Mkuu
Mtoto wa mkulima
Unaujua ukweli pamoja na kwamba umebanwa

Hawa wengine, bahati mbaya watakuwa wamwchoka
Dr Slaa. Six, Mwandosya, Makamba, Lowasa NK

tafadhali anza mbele kwa mbele, tena staili ya Magufuli.

Uzee wa mtu au kuchoka kwa mtu kunatokana na nini?
 
Pamoja na kwamba huna mkuu, ni mtu wa staha, na ni mapema sana, lakini kwa kanzi ya kwanza nzito uliyopewa ulionyesha uzalendo wa hali ya juu. Najua kazi ile ya kamati ya umeme ilikuwa hatari sana, lakini uliifanya kwa umakini na uaminifu kwa umma. inawezekana kwa usalama mengine hayakusemwa lakin ulifanya. Unafaa kuchukua uraisi 2015.

Vigezo:
Umri unakuruhusu
Umeshapewa ujiko wa uwaziri, kunjua makucha
Kule kyela watakataa jinsi wanavyokuhitaji, anza kupiga debe
Wako wengine wenye sifa lakini umewazidi kielimu Dr.
Hata CDM wanakuogopa
Ni mcha Mungu
Huna Mkuu
Mtoto wa mkulima
Unaujua ukweli pamoja na kwamba umebanwa

Hawa wengine, bahati mbaya watakuwa wamwchoka
Dr Slaa. Six, Mwandosya, Makamba, Lowasa NK

tafadhali anza mbele kwa mbele, tena staili ya Magufuli.

Mkuu hata Makamba yuko akilini mwako kwamba anaweza kuwa rais wa Tanzania? Au unamaanisha Makamba Jr?
 
mimi nadhani mwenzetu amekurupuka sana awe rais kupitia ccm , labda hizo ni njozi tu alizo nazo!
 
kumbe umeona? Makamba au magurudumu? majatani /? hili jina ni chafu sana wala halihitajiki kusikika kwa watz
Mkuu hata Makamba yuko akilini mwako kwamba anaweza kuwa rais wa Tanzania? Au unamaanisha Makamba Jr?
 
Mwakyembe na Magufuli ni majoka ya kibisa ......waoga mno ...! yaani wako tayari Yusuf makamba achokue fomu za urais lakini si waoo... mie baado siwaami...,
Ni watu wa kujikomba tuuuu ili wapate uwaziri, jawana ujasiri wa kugombea uraisi hao....utaona...
 
Mwakyembe na Magufuli ni majoka ya kibisa ......waoga mno ...! yaani wako tayari Yusuf makamba achokue fomu za urais lakini si waoo... mie baado siwaami...,
Ni watu wa kujikomba tuuuu ili wapate uwaziri, jawana ujasiri wa kugombea uraisi hao....utaona...

Hapo red
Unajua hakuna mtu anayeweza kujielewa asilimia 100 kwamba anaweza kukubalika katika mfumo wetu huu ambao akili nyingi, busara na maarifa vimelala makaburini bila kutumika. Sasa wanapotokea watu jasiri, wakafanya mambo ya kupendeza basi ni sisi wananchi tunaweza kuanza kuwapamba ili ijasiri uweze kukua.

Ujasiri unazaliwa, unakua na unaweza kufa vilevile.

Wako wengine wazuri, laki tayari tunae huyu. Watu wanaojikomba hawawezi kuriski nafasi zao. Nafikiri umeona mfano wa Mzee Six, Mhe Ole, na Dr Weapon jinsi walivyojitoa bile uoga. Lakini huyu mwakyembe alirisk maisha yake. Hebu jiweke wewe kwenye nafasi yake.

Mwamdosya = old but modarate
Pombe = Middle but is going old
Ole = Is getting quet
Pius, John, Salim, Ana are getting old though wise

I see Mwakyembe very potential, even if need be through CDM or CUF etc
 
Back
Top Bottom