Kwa hili najua wengi mtauliza source. ANGALIA WARAKA WA MSAJILI WA HAZINA KUHUSU MISHAHARA.
Kuna ubaguzi wa makusudi unaofanywa na serikali kwa kutoa mishahara tofauti kati ya wahadhiri wenye vyeo sawa katika vyuo vya elimu ya juu. Huu ubaguzi umesababisha hata baadhi ya wahadhiri kuanza kutoka chuo kimoja kwenda kingine na kusababisha upungufu mkubwa wa wahadhiri katika vyuo vikuu.
Ubaguzi ulio wazi ni ule unaofanywa kati ya wahadhiri wanaopata mishahara katika ngazi ya PHTS na PUTS. Kwa mfano Ukiangalia waraka wa hazina utagundua kuwa Assistant Lecturer aliyeko PHTS 13 anamzidi assistant Lecturer aliyeko PUTS kwa zaidi ya shilingi 250,000/= japo wote ni majukumu sawa na kazi wanafanya pamoja na muda wa kufanya kazi ni sawa. Ukienda mbali zaidi assistant Lecturer aliyeko PHTS 14 anamzidi mshahara Lecturer aliyeko PUTS 15.
Je hili linafanywa maksudi na serikali au linafanywa maksudi na viongozi wa chuo kama kina mlacha?
Kuna ubaguzi wa makusudi unaofanywa na serikali kwa kutoa mishahara tofauti kati ya wahadhiri wenye vyeo sawa katika vyuo vya elimu ya juu. Huu ubaguzi umesababisha hata baadhi ya wahadhiri kuanza kutoka chuo kimoja kwenda kingine na kusababisha upungufu mkubwa wa wahadhiri katika vyuo vikuu.
Ubaguzi ulio wazi ni ule unaofanywa kati ya wahadhiri wanaopata mishahara katika ngazi ya PHTS na PUTS. Kwa mfano Ukiangalia waraka wa hazina utagundua kuwa Assistant Lecturer aliyeko PHTS 13 anamzidi assistant Lecturer aliyeko PUTS kwa zaidi ya shilingi 250,000/= japo wote ni majukumu sawa na kazi wanafanya pamoja na muda wa kufanya kazi ni sawa. Ukienda mbali zaidi assistant Lecturer aliyeko PHTS 14 anamzidi mshahara Lecturer aliyeko PUTS 15.
Je hili linafanywa maksudi na serikali au linafanywa maksudi na viongozi wa chuo kama kina mlacha?