Jamani naomba aulizwe Mnyaa katika baraza la uwakilishi huwa wanasoma bajeti? akina nani wanaochangia maoni, makusanyo ya kodi yanafanyika bara tu? HUKU KUNA TRA huko kwao kuna mamlaka gani ZRA au ....?
mbona wakiwa mjengoni kwetu wanaongea kama vile .....**# MUUNGANO hawautaki kabisa ni mpango wa siuf au wa viongozi walioko madarakani au UHAMSHO ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.